LGE2024 Arusha: Wagombea 9 wa CCM waenguliwa kwenye mchakato wa Serikali za Mitaa kwa kukosa sifa

LGE2024 Arusha: Wagombea 9 wa CCM waenguliwa kwenye mchakato wa Serikali za Mitaa kwa kukosa sifa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Katika Halmashauri ya Jiji la Arusha, Mkoa wa Arusha, wagombea tisa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameondolewa kwenye mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.

Hatua hiyo imechukuliwa baada ya wagombea hao kukosa sifa zinazotakiwa kwa mujibu wa kanuni na sheria za uchaguzi huo.

Kwa mujibu wa Msimamizi wa Uchaguzi, wagombea hao wameenguliwa kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo mitaa wanayogombea kutokuwa kwenye orodha rasmi ya mitaa inayotambulika na Mamlaka ya Serikali za Mitaa, pamoja na baadhi yao kushindwa kutaja jinsia kwenye fomu walizojaza.

Arusha.png

Soma pia: CHADEMA: Baada ya Waziri wa TAMISEMI kusema Wagombea walioenguliwa wakate rufaa, tumepokea taarifa ofisi za Mitaa, Vitongoji na Vijiji zimefungwa

Wagombea walioathirika na hatua hii ni pamoja na Frank Samwel Laizer aliyekuwa akiwania uenyekiti wa Mtaa wa Mbeshere, David Molel aliyekuwa akigombea uenyekiti wa Mtaa wa Olkungu, Mohamed Amir aliyekuwa na ndoto za kuongoza Mtaa wa Makaburi ya Baniani, na Juma Waziri aliyekuwa akigombea uenyekiti wa Mtaa wa Mkwangwaru B.

Pia, kuna wagombea wa nafasi ya ujumbe wa Serikali za Mitaa, kama Hayrat Manyanga na Gilbert Massawe, ambao nao wameondolewa kwenye mchakato huu baada ya kukosea kwenye ujazaji wa fomu zao za kuwania nafasi hizo.
 
Katika Halmashauri ya Jiji la Arusha, Mkoa wa Arusha, wagombea tisa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameondolewa kwenye mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.

Hatua hiyo imechukuliwa baada ya wagombea hao kukosa sifa zinazotakiwa kwa mujibu wa kanuni na sheria za uchaguzi huo.

Kwa mujibu wa Msimamizi wa Uchaguzi, wagombea hao wameenguliwa kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo mitaa wanayogombea kutokuwa kwenye orodha rasmi ya mitaa inayotambulika na Mamlaka ya Serikali za Mitaa, pamoja na baadhi yao kushindwa kutaja jinsia kwenye fomu walizojaza.


Soma pia: CHADEMA: Baada ya Waziri wa TAMISEMI kusema Wagombea walioenguliwa wakate rufaa, tumepokea taarifa ofisi za Mitaa, Vitongoji na Vijiji zimefungwa

Wagombea walioathirika na hatua hii ni pamoja na Frank Samwel Laizer aliyekuwa akiwania uenyekiti wa Mtaa wa Mbeshere, David Molel aliyekuwa akigombea uenyekiti wa Mtaa wa Olkungu, Mohamed Amir aliyekuwa na ndoto za kuongoza Mtaa wa Makaburi ya Baniani, na Juma Waziri aliyekuwa akigombea uenyekiti wa Mtaa wa Mkwangwaru B.

Pia, kuna wagombea wa nafasi ya ujumbe wa Serikali za Mitaa, kama Hayrat Manyanga na Gilbert Massawe, ambao nao wameondolewa kwenye mchakato huu baada ya kukosea kwenye ujazaji wa fomu zao za kuwania nafasi hizo.
Tunabalance mzani
 
Ukisikia kali ya mwaka ndio hii, kwa hiyo wakati wanakwenda kuchukua fomu za kugombea hawakuonyesha mitaa wanayotoka? Wapinzani mjifariji kwa luga gongana hiyo. Ukiambiwa ongeza na zakwako
 
Katika Halmashauri ya Jiji la Arusha, Mkoa wa Arusha, wagombea tisa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameondolewa kwenye mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.

Hatua hiyo imechukuliwa baada ya wagombea hao kukosa sifa zinazotakiwa kwa mujibu wa kanuni na sheria za uchaguzi huo.

Kwa mujibu wa Msimamizi wa Uchaguzi, wagombea hao wameenguliwa kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo mitaa wanayogombea kutokuwa kwenye orodha rasmi ya mitaa inayotambulika na Mamlaka ya Serikali za Mitaa, pamoja na baadhi yao kushindwa kutaja jinsia kwenye fomu walizojaza.


Soma pia: CHADEMA: Baada ya Waziri wa TAMISEMI kusema Wagombea walioenguliwa wakate rufaa, tumepokea taarifa ofisi za Mitaa, Vitongoji na Vijiji zimefungwa

Wagombea walioathirika na hatua hii ni pamoja na Frank Samwel Laizer aliyekuwa akiwania uenyekiti wa Mtaa wa Mbeshere, David Molel aliyekuwa akigombea uenyekiti wa Mtaa wa Olkungu, Mohamed Amir aliyekuwa na ndoto za kuongoza Mtaa wa Makaburi ya Baniani, na Juma Waziri aliyekuwa akigombea uenyekiti wa Mtaa wa Mkwangwaru B.

Pia, kuna wagombea wa nafasi ya ujumbe wa Serikali za Mitaa, kama Hayrat Manyanga na Gilbert Massawe, ambao nao wameondolewa kwenye mchakato huu baada ya kukosea kwenye ujazaji wa fomu zao za kuwania nafasi hizo.
Ni bora hilo limefurahiwa na mtu mmoja tu.
 
Katika Halmashauri ya Jiji la Arusha, Mkoa wa Arusha, wagombea tisa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameondolewa kwenye mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.

Hatua hiyo imechukuliwa baada ya wagombea hao kukosa sifa zinazotakiwa kwa mujibu wa kanuni na sheria za uchaguzi huo.

Kwa mujibu wa Msimamizi wa Uchaguzi, wagombea hao wameenguliwa kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo mitaa wanayogombea kutokuwa kwenye orodha rasmi ya mitaa inayotambulika na Mamlaka ya Serikali za Mitaa, pamoja na baadhi yao kushindwa kutaja jinsia kwenye fomu walizojaza.


Soma pia: CHADEMA: Baada ya Waziri wa TAMISEMI kusema Wagombea walioenguliwa wakate rufaa, tumepokea taarifa ofisi za Mitaa, Vitongoji na Vijiji zimefungwa

Wagombea walioathirika na hatua hii ni pamoja na Frank Samwel Laizer aliyekuwa akiwania uenyekiti wa Mtaa wa Mbeshere, David Molel aliyekuwa akigombea uenyekiti wa Mtaa wa Olkungu, Mohamed Amir aliyekuwa na ndoto za kuongoza Mtaa wa Makaburi ya Baniani, na Juma Waziri aliyekuwa akigombea uenyekiti wa Mtaa wa Mkwangwaru B.

Pia, kuna wagombea wa nafasi ya ujumbe wa Serikali za Mitaa, kama Hayrat Manyanga na Gilbert Massawe, ambao nao wameondolewa kwenye mchakato huu baada ya kukosea kwenye ujazaji wa fomu zao za kuwania nafasi hizo.

Spinning at work
Eti kagombea mtaa ambao haupo[emoji3][emoji3][emoji3]
CCM Acha kabisaaaahhhhhh
 
Katika Halmashauri ya Jiji la Arusha, Mkoa wa Arusha, wagombea tisa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameondolewa kwenye mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.

Hatua hiyo imechukuliwa baada ya wagombea hao kukosa sifa zinazotakiwa kwa mujibu wa kanuni na sheria za uchaguzi huo.

Kwa mujibu wa Msimamizi wa Uchaguzi, wagombea hao wameenguliwa kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo mitaa wanayogombea kutokuwa kwenye orodha rasmi ya mitaa inayotambulika na Mamlaka ya Serikali za Mitaa, pamoja na baadhi yao kushindwa kutaja jinsia kwenye fomu walizojaza.


Soma pia: CHADEMA: Baada ya Waziri wa TAMISEMI kusema Wagombea walioenguliwa wakate rufaa, tumepokea taarifa ofisi za Mitaa, Vitongoji na Vijiji zimefungwa

Wagombea walioathirika na hatua hii ni pamoja na Frank Samwel Laizer aliyekuwa akiwania uenyekiti wa Mtaa wa Mbeshere, David Molel aliyekuwa akigombea uenyekiti wa Mtaa wa Olkungu, Mohamed Amir aliyekuwa na ndoto za kuongoza Mtaa wa Makaburi ya Baniani, na Juma Waziri aliyekuwa akigombea uenyekiti wa Mtaa wa Mkwangwaru B.

Pia, kuna wagombea wa nafasi ya ujumbe wa Serikali za Mitaa, kama Hayrat Manyanga na Gilbert Massawe, ambao nao wameondolewa kwenye mchakato huu baada ya kukosea kwenye ujazaji wa fomu zao za kuwania nafasi hizo.
Wanataka watubabaishe tu. Tendeni haki dunia fupi hii. Kesho ukifa umeondoka na haki za watu hakuna atakaekupokea zigo hilo..usimfurahishe mtu mfurahishe alietuumba
 
Hapo Kuna watu wanatafutwa, Ngoma ikigeuzwa juu Chini itasaidia kujusfify Kile kinachotengenezwa.

Wapinzani Kaeni chonjo mara mbili ama la mnaenda kulia
 
Katika Halmashauri ya Jiji la Arusha, Mkoa wa Arusha, wagombea tisa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameondolewa kwenye mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.

Hatua hiyo imechukuliwa baada ya wagombea hao kukosa sifa zinazotakiwa kwa mujibu wa kanuni na sheria za uchaguzi huo.

Kwa mujibu wa Msimamizi wa Uchaguzi, wagombea hao wameenguliwa kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo mitaa wanayogombea kutokuwa kwenye orodha rasmi ya mitaa inayotambulika na Mamlaka ya Serikali za Mitaa, pamoja na baadhi yao kushindwa kutaja jinsia kwenye fomu walizojaza.


Soma pia: CHADEMA: Baada ya Waziri wa TAMISEMI kusema Wagombea walioenguliwa wakate rufaa, tumepokea taarifa ofisi za Mitaa, Vitongoji na Vijiji zimefungwa

Wagombea walioathirika na hatua hii ni pamoja na Frank Samwel Laizer aliyekuwa akiwania uenyekiti wa Mtaa wa Mbeshere, David Molel aliyekuwa akigombea uenyekiti wa Mtaa wa Olkungu, Mohamed Amir aliyekuwa na ndoto za kuongoza Mtaa wa Makaburi ya Baniani, na Juma Waziri aliyekuwa akigombea uenyekiti wa Mtaa wa Mkwangwaru B.

Pia, kuna wagombea wa nafasi ya ujumbe wa Serikali za Mitaa, kama Hayrat Manyanga na Gilbert Massawe, ambao nao wameondolewa kwenye mchakato huu baada ya kukosea kwenye ujazaji wa fomu zao za kuwania nafasi hizo.
Huo ni usanii, walipewa vipi form za kugombea nafasi hizo katika mitaa ambayo haitambuliki? Msitufanye wote ni wajinga.
 
Back
Top Bottom