Arusha: Wanafunzi Chuo cha Uhasibu kurudi chuoni kwa huruma za Wakuu wa Wilaya...

Arusha: Wanafunzi Chuo cha Uhasibu kurudi chuoni kwa huruma za Wakuu wa Wilaya...

only83

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
5,343
Reaction score
2,527

CHUO CHA UHASIBU ARUSHA

TANGAZO


Kutokana na Chuo kufungwa, Baraza la Uongozi wa Chuo katika kikao chake cha dharura cha tarehe 03 Mei 2013 kimeagiza wanafunzi wote kuanzia ngazi ya Cheti mpaka Stashahada ya Uzamili kuzingatia yafuatayo:

1. Kila Mwanafunzi anatakiwa kutuma maombi mapya ya kujiunga na Chuo.

2. Barua ya maombi hayo ipitishwe kwa Mkuu wa Wilaya anapoishi mwanafunzi. Kwa mwanafunzi wa Stashahada ya Uzamili ya Uhasibu barua yake ya maombi ipitie kwa Mhasibu Mkuu wa Serikali.

3. Katika maombi hayo mwanafunzi anaagizwa kueleza namna alivyoshiriki katika vurugu za tarehe 24 Aprili 2013.

4. Mwanafunzi awe amekamilisha malipo ya ada iliyobaki wakati anatuma maombi yake 5. Mwisho wa maombi ni tarehe 16 Mei 2013.

5. Maombi yapelekwe kwa anwani ifuatayo:

Mkuu wa Chuo,
Chuo cha Uhasibu Arusha
S. L. P. 2798
Arusha.
08 Mei 2013

My take:
Hivi wakuu wa wilaya wanahusiano gani na vyuo vya elimu na wanafunzi wa elimu ya juu? Kama sio njama ya kuwasumbua na kuwaletea shida wanafunzi.
 
only83
Ulitaka maombi yao yapitie kwa Lema? Wameonyesha utovu wa nidhamu watahukumiwa kwa kosa lao; Lema kawaingiza mkenge na awasaidie warudi chuoni. Wakuu wa wilaya ni sehemu ya serikali; wanasoma kwa kodi zetu ni jukumu la serikali kuhakikisha pesa zetu hazipotei; kama wanataka siasa waingie kwenye siasa
Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
kuna siku nyny viongozi uchwara yatakwisha haya manyanyaso yenu
 
My take:
Hivi wakuu wa wilaya wanahusiano gani na vyuo vya elimu na wanafunzi wa elimu ya juu? Kama sio njama ya kuwasumbua na kuwaletea shida wanafunzi.

Hawa ni wanausalama wa chama cha magamba. Labda wanatakiwa waanze kufanya "mapping"

Kisichoeleweka hapo ni jinsi gani barua hiyo itamfikia mkuu wa chuo kupitia kwa mkuu wa wilaya. Basi ingepaswa kuandikwa:

Mkuu wa chuo
Box...
Arusha

Ufs: Mkuu wa wilaya
Wilaya ya Kililo
SLP 2013
 
only83
Ulitaka maombi yao yapitie kwa Lema? Wameonyesha utovu wa nidhamu watahukumiwa kwa kosa lao; Lema kawaingiza mkenge na awasaidie warudi chuoni. Wakuu wa wilaya ni sehemu ya serikali; wanasoma kwa kodi zetu ni jukumu la serikali kuhakikisha pesa zetu hazipotei; kama wanataka siasa waingie kwenye siasa
Chama
Gongo la mboto DSM

Aaah chama, I know you can think beyond this bana acha kuniaibisha bana,
Tukiacha siasa pembeni hatua hii mimi binafsi naiona kama inaleta usumbufu usio wa lazima,
Kwa nini wasimalizie processes zote chuoni?

Je ni wangapi wanakaa maeneo ambayo wana access rahisi ya Mkuu wa Wilaya? Je ni wangapi watakaokwama kuwapa wakuu wao wa Wilaya na kusaini (kwa kuzingatia wakuu wa wilaya wana majukumu mengine na wakati mwingine wanazunguuka)

Je unadhani wakuu wa Wilaya watalisikiliza hili na kuli-impliment kirahisi hasa kwa kuzingatia wengine hawako chini ya Mamlaka ya Mulongo? Vipi ukienda kwa Mkuu wa Wilaya akakuambia hajui hiyo order na haifahamu na ukakosa Ushirikiano? Au ni order imetoka ofisi ya Raisi ambako wakuu wote wa Mikoa wana-report na hivyo kuweza kuituma hiyo order chini yao (kwa wakuu wa Wilaya)

Yako mengi ya kujiuliza before kuzungumzia mambo ya siasa za kina Lema n.k
 
Last edited by a moderator:
only83
Ulitaka maombi yao yapitie kwa Lema? Wameonyesha utovu wa nidhamu watahukumiwa kwa kosa lao; Lema kawaingiza mkenge na awasaidie warudi chuoni. Wakuu wa wilaya ni sehemu ya serikali; wanasoma kwa kodi zetu ni jukumu la serikali kuhakikisha pesa zetu hazipotei; kama wanataka siasa waingie kwenye siasa
Chama
Gongo la mboto DSM

kodi zetu? Wewe ziro kabisa... UlukuVI unakusumbua.
 
Last edited by a moderator:
CHUO CHA UHASIBU ARUSHA TANGAZO


1. Kila Mwanafunzi anatakiwa kutuma maombi mapya ya kujiunga na Chuo.

2. Barua ya maombi hayo ipitishwe kwa Mkuu wa Wilaya anapoishi mwanafunzi. Kwa mwanafunzi wa Stashahada ya Uzamili ya Uhasibu barua yake ya maombi ipitie kwa Mhasibu Mkuu wa Serikali.

3. Katika maombi hayo mwanafunzi anaagizwa kueleza namna alivyoshiriki katika vurugu za tarehe 24 Aprili 2013.

RED: Hapo sasa, bisha uone -unachuo, na ukikubali lazima uwataja vinara.
 
hao wa kwa muhasibu mkuu wa serikali mm ndo nawaonea huruma kabisa
 
na wale ambao wakuu wao wa wilaya hawaka wilayani
 
only83
Ulitaka maombi yao yapitie kwa Lema? Wameonyesha utovu wa nidhamu watahukumiwa kwa kosa lao; Lema kawaingiza mkenge na awasaidie warudi chuoni. Wakuu wa wilaya ni sehemu ya serikali; wanasoma kwa kodi zetu ni jukumu la serikali kuhakikisha pesa zetu hazipotei; kama wanataka siasa waingie kwenye siasa
Chama
Gongo la mboto DSM

Hapo kweye Red, una hakika na unchokisema? Ni asilimia ngapi ya wanafunzi wanasomeshwa kwa kodi za serikali? No research no right to speak
 
CHUO CHA UHASIBU ARUSHA TANGAZO
Kutokana na Chuo kufungwa, Baraza la Uongozi wa Chuo katika kikao chake cha dharura cha tarehe 03 Mei 2013 kimeagiza wanafunzi wote kuanzia ngazi ya Cheti mpaka Stashahada ya
Uzamili kuzingatia yafuatayo:

1. Kila Mwanafunzi anatakiwa kutuma maombi mapya ya kujiunga na Chuo.

2. Barua ya maombi hayo ipitishwe kwa Mkuu wa Wilaya anapoishi mwanafunzi. Kwa mwanafunzi wa Stashahada ya Uzamili ya Uhasibu barua yake ya maombi ipitie kwa Mhasibu Mkuu wa Serikali.

3. Katika maombi hayo mwanafunzi anaagizwa kueleza namna alivyoshiriki katika vurugu za tarehe 24 Aprili 2013.

4. Mwanafunzi awe amekamilisha malipo ya ada iliyobaki wakati anatuma maombi yake 5. Mwisho wa maombi ni tarehe 16 Mei 2013.

5. Maombi yapelekwe kwa anwani ifuatayo: Mkuu wa Chuo,
Chuo cha Uhasibu Arusha
S. L. P. 2798
Arusha.
08 Mei 2013

My take:
Hivi wakuu wa wilaya wanahusiano gani na vyuo vya elimu na wanafunzi wa elimu ya juu? Kama sio njama ya kuwasumbua na kuwaletea shida wanafunzi.

Made in Tanzania
 
only83
Ulitaka maombi yao yapitie kwa Lema? Wameonyesha utovu wa nidhamu watahukumiwa kwa kosa lao; Lema kawaingiza mkenge na awasaidie warudi chuoni. Wakuu wa wilaya ni sehemu ya serikali; wanasoma kwa kodi zetu ni jukumu la serikali kuhakikisha pesa zetu hazipotei; kama wanataka siasa waingie kwenye siasa
Chama
Gongo la mboto DSM

Even though you have to think critically not by USING LUKUVI'S BRAIN RIP CCM.
 
Last edited by a moderator:

My take:
Hivi wakuu wa wilaya wanahusiano gani na vyuo vya elimu na wanafunzi wa elimu ya juu? Kama sio njama ya kuwasumbua na kuwaletea shida wanafunzi.

Usumbufu wenu huo ni wa kipuuzi na mmeogopa kuwarudisha direct mkihofia kushtakiwa ndo maana mmewambia waombe upya ha ha ha janja ya serikali
 
only83
Ulitaka maombi yao yapitie kwa Lema? Wameonyesha utovu wa nidhamu watahukumiwa kwa kosa lao; Lema kawaingiza mkenge na awasaidie warudi chuoni. Wakuu wa wilaya ni sehemu ya serikali; wanasoma kwa kodi zetu ni jukumu la serikali kuhakikisha pesa zetu hazipotei; kama wanataka siasa waingie kwenye siasa
Chama
Gongo la mboto DSM

ACHA UMBULULA WEWE! Sio wote tunasoma kwa kodi zenu! Nyie vipi! Mna uwezo wa kumlipia nani! Soma bango vizuri! Wanafunzi wawe wameshamaliza ADA! Wanalipiwa na nani. Kama ni serekali si walipie huko huko! Kama hujui uliza!
 
Last edited by a moderator:
Really? Well, CCM wajue hivi 2015 sio mbali. Warm-up match ni chaguzi za TAMISEMI 2014.

Too inept, JK's government.
 
Back
Top Bottom