Kivumah JF-Expert Member Joined Jan 7, 2008 Posts 2,427 Reaction score 1,054 Jan 23, 2013 #1 Ni wapi kwa Arusha yanakopaki magari (Malori) yanayotoa huduma ya kuuza maji masafi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani? Au mwenye contact za hayo Magari aweke hapa
Ni wapi kwa Arusha yanakopaki magari (Malori) yanayotoa huduma ya kuuza maji masafi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani? Au mwenye contact za hayo Magari aweke hapa
CHASHA FARMING JF-Expert Member Joined Jun 4, 2011 Posts 7,872 Reaction score 9,263 Jan 23, 2013 #2 Nenda mitaa ya Majengo karibu na Kiwanda cha mafuta ya kula cha Sunola, hapo utayakuta hadi ya Mchanga na kazalika
Nenda mitaa ya Majengo karibu na Kiwanda cha mafuta ya kula cha Sunola, hapo utayakuta hadi ya Mchanga na kazalika
Q Qsm JF-Expert Member Joined Dec 11, 2008 Posts 450 Reaction score 262 Jan 23, 2013 #3 mwingine ni matokeo anaishi sinoni ana carwash pia maeneo ya mtaa wa jaluo.
Kivumah JF-Expert Member Joined Jan 7, 2008 Posts 2,427 Reaction score 1,054 Jan 24, 2013 Thread starter #4 Asanteni sana Wakuu Chasha na Qsm hapo juu. Mna Idea kuhusu bei zao zikoje kwa lori moja?
Money Stunna JF-Expert Member Joined Aug 9, 2011 Posts 13,053 Reaction score 6,304 Jan 24, 2013 #5 kumbe kuna watu hawana maji safi