Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Nina mgonjwa wangu ambaye juzijuzi ndiyo imegundulika kuwa ana Upungufu wa Kinga pia Ana TB.Hospital ya kwanza waligundua kuwa ana Upungufu wa Kinga Na wakamuanzishia dawa katika Clinic yao.Baada ya hapo akaenda Hospital nyingine ikagundulika TB.Akapewa dawa Za TB.
Sasa tatizo ni kuwa kabla ya kugundulika magonjwa haya alikuwa anaugua mara Moja Na kupona tena sometimes kwa Panadol tu Bila shida yeyote.
Lakini alivyoanza tu kutumia ARV Na Dawa Za TB mgonjwa wangu kazidiwa yupo hoi,uzito unapungua kwa Kasi japo lishe anapewa ya kuridhisha.
Mgonjwa anapoteza kumbukumbu yaani hajielewi kwa chochote.Huwezi kuongea naye akakuelewa.
Hizi dawa zina shida gani japo Sasa madaktari wamesema astop kutumia ARV atumie kwanza dawa Za TB kwa Wiki mbili then ataendelea kwa pamoja na dawa Za TB.
Badala ya kurecover naona mgonjwa wangu anazidi kudhoofika kwa Kasi mno
Hii ni effect ya dawa au hofu?
Sasa tatizo ni kuwa kabla ya kugundulika magonjwa haya alikuwa anaugua mara Moja Na kupona tena sometimes kwa Panadol tu Bila shida yeyote.
Lakini alivyoanza tu kutumia ARV Na Dawa Za TB mgonjwa wangu kazidiwa yupo hoi,uzito unapungua kwa Kasi japo lishe anapewa ya kuridhisha.
Mgonjwa anapoteza kumbukumbu yaani hajielewi kwa chochote.Huwezi kuongea naye akakuelewa.
Hizi dawa zina shida gani japo Sasa madaktari wamesema astop kutumia ARV atumie kwanza dawa Za TB kwa Wiki mbili then ataendelea kwa pamoja na dawa Za TB.
Badala ya kurecover naona mgonjwa wangu anazidi kudhoofika kwa Kasi mno
Hii ni effect ya dawa au hofu?