ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

Corona kwa unataka kunipeleka ulaya?mie nimeshapa chanjo ya Johnson Johnson kitamba.
Halafu corona ni air born desease kuithibiti ni mtihani.
Lkn HIV tunaitafuta wenyewe kwa 100%kubwa.
Cheti umepata my?
 
Kuna watu wanachoma sindano kila siku maisha yao yote ku control diabetes( kisukari)
 
Kupinga bila kuleta maelezo ya hoja yako haisaidii,mwaga unachokijua tupate kufahamu
 
Kupinga bila kuleta maelezo ya hoja yako haisaidii,mwaga unachokijua tupate kufahamu sote humu
 
K
Kwann uhisi maruheuhe ? Kwan wakat una ngonoka hukusikia maruhe ruhe

Samahan lkn.......
 
Ni kweli asilimia kubwa ya watu wenye O+ hawapati HIV kirahisi, nina mfano hai wa mtu wangu wa karibu kabisa, miaka hiyo yule bwana na mahawara zake kibao walishaiacha dunia kwa ukimwi ila yeye yupo hadi leo, kila akipima ni negative
Nafikiri kuna haja ya utafiti zaidi ufanyieke juu ya hili,huenda watu wana hoja ya msingi na inawezekana hata hao watafiti wakiwatumia hao wenye blood group hilo wakaja na chanjo ya UKIMWI,kama ni kweli hawaambukizwi kwa urahisi
 
Mi ndugu yangu anaishi moro ila anachukulia mnazi mmoja...manesi anawapa mshiko wa maana maana mi ratiba zangu zilibana kuwa namtumia kwenye basi, so wao now ndo wanafanya hii shughuli

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Daaah sijui ntakua nishawahi kumla huyo aunt wako,manake nilishawhi kuishi huko mida fulani na niliwapelekea moto sana mashangazi wazurizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…