Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kocha anauzwa Ndio nasikia leo๐๐Mna force muwe kama Yanga
Mzize anatakiwa Wydad na nyie mkazusha Kibu kutakiwa mc Alger wakati sio kweli
Yanga tumemuuza Ramovic madola ya pesa usiku mnazusha ati FAR Rabbat wanamtaka kishingo
Yaani FAR Rabbat wamtake coach wa shirikisho
Bangi na visungura ni Janga kwa wazee kama hao waliochoka.Kocha anauzwa Ndio nasikia leo๐๐
Haya ameuzwa hela ngapi?
Una ID ngapi hapa Jamii forumsKocha anauzwa Ndio nasikia leo๐๐
Haya ameuzwa hela ngapi?
Unachekesha sana mkuu ๐คฃMna force muwe kama Yanga
Mzize anatakiwa Wydad na nyie mkazusha Kibu kutakiwa mc Alger wakati sio kweli
Yanga tumemuuza Ramovic madola ya pesa usiku mnazusha ati FAR Rabbat wanamtaka kishingo
Yaani FAR Rabbat wamtake coach wa shirikisho
Yanga ni masikini , Simba hatuwezi ruhusu jambo hiloWazee Ubaya Ubwela jiandaeni Kisaikolojia
AS FAR ya Morocco, inamtaka kocha wenu kipenzi baada ya kumfukuza Hubert Velud leo, tarehe 6 Februari 2025.
View attachment 3226361
View attachment 3226362
Moja tu mkuu, kama una yangu ingine nitag na ukithibitisha mods waifungie.Una ID ngapi hapa Jamii forums
Yanga imemuuza coach mwenye mkataba wa miezi sita na termination of contract condition at anytime ๐๐๐๐ maajabuMna force muwe kama Yanga
Mzize anatakiwa Wydad na nyie mkazusha Kibu kutakiwa mc Alger wakati sio kweli
Yanga tumemuuza Ramovic madola ya pesa usiku mnazusha ati FAR Rabbat wanamtaka kishingo
Yaani FAR Rabbat wamtake coach wa shirikisho
Ikamnunua kocha kutoka Singida ๐คฃYanga imemuuza coach mwenye mkataba wa miezi sita na termination of contract condition at anytime ๐๐๐๐ maajabu
Mwenda wazimu huyo nakuambia๐๐Yanga imemuuza coach mwenye mkataba wa miezi sita na termination of contract condition at anytime ๐๐๐๐ maajabu
Huyu sibishani nae tena ni takataka kwangu Kalpana OKW BOBAN SUNZU kumbe kocha Ramovich ameuzwa bwanaMna force muwe kama Yanga
Mzize anatakiwa Wydad na nyie mkazusha Kibu kutakiwa mc Alger wakati sio kweli
Yanga tumemuuza Ramovic madola ya pesa usiku mnazusha ati FAR Rabbat wanamtaka kishingo
Yaani FAR Rabbat wamtake coach wa shirikisho
Lakini hawa Yanga itakuwa walimtia saini ya mda gani?au huo mkataba sijui itakuwaje!Mwenda wazimu huyo nakuambia๐๐
Kwahiyo wamumuuza tena sio kuvunja mkataba
Bwana wew nimecheka sana leoIkamnunua kocha kutoka Singida ๐คฃ
Kasheshe kweli kweli!Mna force muwe kama Yanga
Mzize anatakiwa Wydad na nyie mkazusha Kibu kutakiwa mc Alger wakati sio kweli
Yanga tumemuuza Ramovic madola ya pesa usiku mnazusha ati FAR Rabbat wanamtaka kishingo
Yaani FAR Rabbat wamtake coach wa shirikisho
Bado ni Tetesi in fact As Far Rabat hawawezi mfukuza kocha alieongoza kundi juu ya Mamelod CAF CC Wamchukue kocha wa Simba Confederation CupLakini hawa Yanga itakuwa walimtia saini ya mda gani?au huo mkataba sijui itakuwaje!
Najiuliza pia je Simba kwa Fadhlu tena mbona itakuwa pigo kuondoka mda huu wakati Simba ishaanza kujipata na ina mashindano ya kimataofa
Kijana kama huyu anakunywa gongo, anavuta bangi na mafuta ya petrol halafu awe na akili timamu?Una ID ngapi hapa Jamii forums