AS PER 28th RESULTS, CDM INSPIRES AND DESERVES TO WIN 2015, NOT DREAMS

umeonaeeeee
wataisoma namba hao ccm
 
Wataisoma hawa magamba kiukweli manake tumewachoka sana hawa mafsadi
 
waache wafu wazike wafu wao! asiesikila la mkuu huvunjika guu! magamba watajiju!
 
Kifo chao kipo kwenye marekebisho ya daftari la kupiga kura, hata wakukuruke ni kisu shaaaaaa bila huruma.
 
Kifo chao kipo kwenye marekebisho ya daftari la kupiga kura, hata wakukuruke ni kisu shaaaaaa bila huruma.

Daftari la wapiga kura ni changamoto kubwa sana kwa cdm kwa sasa! Wengi wa wafuasi wake either hawakujiandikisha, hawakuwa wametimiza umri au wamepoteza. Inapofika siku ya kupiga kura, utaona ni wale wale wazee na akina mama. Vijana mh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…