Masaki road
Member
- Jul 16, 2020
- 52
- 86
Nianze na kumshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema. Ndugu zangu nauliza Kwa mjamzito ambae anaendekea na clinic akiumwa magonjwa yahusianayo na ujauzito wake je matibabu yanakuwa yanalipiwa ama yanakuwa free kama nilivyoskia kwamba wajawazito wanatibiwa bure
Mwenye taarifa sahihi anielekeze
Karibuni sana
Mwenye taarifa sahihi anielekeze
Karibuni sana