Masaki road
Member
- Jul 16, 2020
- 52
- 86
Tayari kitu imejibu!Nianze na kumshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema. Ndugu zangu nauliza Kwa mjamzito ambae anaendekea na clinic akiumwa magonjwa yahusianayo na ujauzito wake je matibabu yanakuwa yanalipiwa ama yanakuwa free kama nilivyoskia kwamba wajawazito wanatibiwa bure
Mwenye taarifa sahihi anielekeze
Karibuni sana
Swadakta mzee,, tuwaache kataa ndoa wasimamie wanachoaminikuoa Kuna amani ya moyo inapatikanaTayari kitu imejibu!
Mrejesho juu ya uzi wangu wa kutafuta mchumba (mke) niliowahi post
Ni mwezi sasa umepita wakurungwa toka nimepost nasaka wife material ili niachane na usemi wa wahuni, wazembe, watoto wa kulelewa na mishangazi unaosema"KATAA NDOA " NDOA NI UTUMWA"NAONA dalili za kuukimbia ziko ukingoni. Tarehe 2/09/2023 alinicheki mtot wa kisukuma tukapata kuzungumza yupo...www.jamiiforums.com