Asalaam Aleykum

karibu sana bizainabu katika home great thinker unaweka uzi kwenye then unautolea maelezo lkn kuwa makin uzi unaopost maana humu kama jina linavyojieleza great thinker unaweza kutoka bila kuaga fist chagua sehrm husika mfano jf chit chat, katiba mpya, uchaguz mkuu, love connect nk baada ya hapo unatupia nyuzi kama nilivyokupa maelezo mwanzo nakuendelea au kama unataka kuchangia fungua box yako ya submit reply mwaga pumba finally submit kwa maelezo zaid njoo PM please
 
Mh mambo wote midomo wazi pengine dumu hilo japo penye nsafara wa padri na shekhe yupo
 

Imebidi nicheke tu, pitia hapa kwa maelezo zaidi: Search Results - JamiiForums | The Home of Great Thinkers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…