huyu atakuwa na minyoo dume au fangus yabisi
Huyo aliyepiga hii picha ni mdhalilishaji.
huyu atakuwa na minyoo dume au fangus yabisi
kweli mkuu maana hata gari kabla ya kukata kona huwa linawasha endiketahehehehehehehe,,,
hivi utajikunaje kunako bila kuangalia kwanza mazingira kama yanaruhusu?
Kuna muwasho mwingine hautoi nafasi ya kuangalia mazingira kama yanaruhusu!Hehehehehehehe,,,
hivi utajikunaje kunako bila kuangalia kwanza mazingira kama yanaruhusu?