mkuu tangu nizaliwe sijawahi kusikia fangasi yabisi... nini maana yake? solid fungus or?huyu atakuwa na minyoo dume au fangus yabisi
A hahahahaaaaah!!Ya ndani iliingia mtaroni
Teh teh teh! Mnaukumbuka ule muwasho wa Klorokwini?Kuna muwasho mwingine hautoi nafasi ya kuangalia mazingira kama yanaruhusu!