Nadhani halazimishi mtu kutumia lugha yoyote wakati wa kuzungumza ,kwahiyo nadhani pia huu ni utashi wa mtu binafsi katika kuamua salamu gani awape watu gani?
Kama wewe hupendi kusema "Asalam alykum" basi sema "Shalom" au "Mambo" tu inatosha.
Tuache ku-complicate the uncomplicated