makenze
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 356
- 217
nimeichuja mwenyewe na kuipakinmwenyewe ina SEAL.haijachangwanywa na chochote na ni strait from mizinga kutokana na kwamba haijapitia mikononi mwa wachakachuaji kuna vinyori ndani yake kuthibitisha ni ya nyuki wadogo ni safi salama,
NUSU=15000
ROBO=8000
SEMA POPOTE ULETEWE KAMA UPO DAR ili kuepuka usumbufu sitaiweka hapa namba yangu ila kama utataka utanifata pm au hapa na kusema uko wapi nikuletee popote pale kwa gharama hiyo hiyo.
kwa mkoani kwa sasa ni arusha tu na kilimanjaro ndo naweza kukuuzia kwa jumla na reja reja.ukitaka jumla utafika mpaka nyumbani na kuoana uvunaji wenyewe na kuchagua upewe katika vifungashio au lah.
PICHA ZA NUSU NA ROBO.MZIGO NI MKUBWA SANA
NUSU=15000
ROBO=8000
SEMA POPOTE ULETEWE KAMA UPO DAR ili kuepuka usumbufu sitaiweka hapa namba yangu ila kama utataka utanifata pm au hapa na kusema uko wapi nikuletee popote pale kwa gharama hiyo hiyo.
kwa mkoani kwa sasa ni arusha tu na kilimanjaro ndo naweza kukuuzia kwa jumla na reja reja.ukitaka jumla utafika mpaka nyumbani na kuoana uvunaji wenyewe na kuchagua upewe katika vifungashio au lah.
PICHA ZA NUSU NA ROBO.MZIGO NI MKUBWA SANA
Attachments
-
1423570454093.jpg25.7 KB · Views: 238 -
1423570471100.jpg26.9 KB · Views: 215 -
1423570490225.jpg25.1 KB · Views: 212 -
1423570506763.jpg21.7 KB · Views: 188 -
1423570518709.jpg24.7 KB · Views: 190 -
1423570534568.jpg28.1 KB · Views: 201 -
1423570547208.jpg36.8 KB · Views: 186 -
1423570567844.jpg68.8 KB · Views: 198 -
1423570585888.jpg60.9 KB · Views: 181