Tumia kiasi kidogo sana let say anza na robo kijiko kidogo na ni vizuri uiweke kwenye maji ya uvuguvugu robo glass - koroga ndo nywe. vinginevyo asali ni tiba nzuri, unless asali yako iwe siyo nzuri.
Duh, hata mie jamani nikilamba asali kidogo tu ni shida .Tumbo inauma kweli kweli. Tusaidieni ,maana nimeikimbia moja kwa moja japo ni muhimu ina faida nyingi