Asali ya vyeo kanisa katoliki imewakolea maaskofu ? Ni kwanini Baraza la maaskofu lipo kimya na wachache waliopinga hawataki kuondoka ?

Asali ya vyeo kanisa katoliki imewakolea maaskofu ? Ni kwanini Baraza la maaskofu lipo kimya na wachache waliopinga hawataki kuondoka ?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
1703586002621.png


Asali ya hivi vyeo inaelekea ni tamu sana, na kuvipata vyeo hivi maaskofu wanakuwa wamehastle sana,

Kinachoonekana ni kwamba wanaogopa kutoa tamko kwa pamoja kwa kutumia baraza kwa hofu ya kupoteza utamu wa hivi vyeo,

Kwa sasa ni maaskofu wasiofikia hata robo ya theluthi wamepinga waraka lakini bado wanaendelea kutumikia vyeo vyao vya kanisa wanalopinga waraka wake.
 
We jamaa mbona unatumia nguvu sana kutangaza huo ushoga wako. Kila siku wewe nyuzi za mashoga tu. Huchoki?

Acha mambo ya kishoga, tafuta shughuli nyingine halali yakufanya.
 
Fasta walitakiwa wajiondoe kuliko kutumikia mhimili wenye uovu juu. Ishu ni kwamba wataishi vipi nje ya utukufu huo mkuu? Hawakujiandaa kuishi maisha mapya nje ya mfumo wa kanisa lao. Wafanye kama Martin Luther kutengeneza kanisa jipya
 
We jamaa mbona unatumia nguvu sana kutangaza huo ushoga wako. Kila siku wewe nyuzi za mashoga tu. Huchoki?

Acha mambo ya kishoga, tafuta shughuli nyingine halali yakufanya.
Anafikiri wakatoliki watahamia kwenye imani yake.
 
Back
Top Bottom