middo JF-Expert Member Joined Mar 21, 2011 Posts 207 Reaction score 56 Jun 4, 2012 #1 Naomba kufahamishwa umuhimu wa asali ya nyuki wakubwa,nimesikia ukichanganya na maji ya moto inasaidia kuyeusha mafuta mwilini ila sijajua ni asali ya nyuki gani wakubwa au wadogo! Mimi natumia ya nyuki wakubwa naomba kujua faida zake.
Naomba kufahamishwa umuhimu wa asali ya nyuki wakubwa,nimesikia ukichanganya na maji ya moto inasaidia kuyeusha mafuta mwilini ila sijajua ni asali ya nyuki gani wakubwa au wadogo! Mimi natumia ya nyuki wakubwa naomba kujua faida zake.