M mama pita Member Joined Jul 20, 2012 Posts 97 Reaction score 139 Jul 20, 2012 #1 jamani natafuta soko la asali wa nyuki wadogo kutoka tabora, bei ni maelewano. mimi nipo arusha kwa anaejua tujuzane jaman
jamani natafuta soko la asali wa nyuki wadogo kutoka tabora, bei ni maelewano. mimi nipo arusha kwa anaejua tujuzane jaman
Bandabichi JF-Expert Member Joined Jun 3, 2012 Posts 230 Reaction score 42 Jul 20, 2012 #2 we kijana hiyo unayohitaji lita moja ni Tsh 10,000 (Elf kumi tu) nayo ni kwa walinaji wenyewe kutoka kijiji cha Kitunda na Kipili wilaya Sikonge. Jaribu watu wa huko uongee nao.
we kijana hiyo unayohitaji lita moja ni Tsh 10,000 (Elf kumi tu) nayo ni kwa walinaji wenyewe kutoka kijiji cha Kitunda na Kipili wilaya Sikonge. Jaribu watu wa huko uongee nao.
Anna pita JF-Expert Member Joined Jul 10, 2012 Posts 227 Reaction score 426 Jul 20, 2012 #3 mimi ninayo natafuta soko la kuuzia my ndugu
ndyoko JF-Expert Member Joined Nov 2, 2010 Posts 4,971 Reaction score 1,652 Jul 21, 2012 #4 Ni vyema ukasema unayo kiasi gani maana isije ikawa lita mbili tatu!