Asante bongo star search kwa kumleta rayvanny

Asante bongo star search kwa kumleta rayvanny

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Kitendo Cha bongo star search kumualika rayvanny
Kama guest judge kimewafurahisha wengi nikiwemo mimi.Pamoja kwamba Rayvanny ni msanii mkubwa na mwenyekufanya vizuri lakini rayvanny ana kipaji kingine Cha uchekeshaji tangu bongo star search watangaze salama hatakuwemo msimu huu upande wa majudge kumepoa Sana.

Kuwepo Leo rayvanny kwenye show ya bongo star search atachangamsha Sana majudge wengine kutokana na uchangamfu wake.lakini pia ninayamini atamsaidia japo msanii mmojawapo wa bongo star search kutokana exposure kubwa aliyonayo.
 
Ok sawa utaendelea kutupa taarifa
 
Si ulisema huwa haufatilii hili shindano
 
Poa poa Youtube Channel Yako Inaitwaje Tukasubscribe?!
 
2235327_ce0d7513-b7c0-414b-9aad-3b8cbf798ed2.gif

Yah mwanzo nilikuwa silifatilii ila nimeanza rasmi kulifuatilia ni kwenye hatua ya 20 Bora.
 
hivi wzungu wanawezaje kula siles mbili na kikombe nusu cha chai??

nimejaribu apa.. nimeshinda ICU toka asubuhi..
 
hata yeye alipo ana mipango yake!

#kila mtu ataubeba mzigo wake!
 
Back
Top Bottom