ofisa
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 4,340
- 4,069
Niliziea kukuona ukiuza chupi (boxer) sox na singland(carwash) sijui kwa nini huitwa hivi. Nimekuona toka 2017 ukiuza hivi vitu kwa kupita kwenye bar na migahawa mikubwa.
But hivi karibuni uliniuzua sox kwa shilingi 2000 tu baada ya kukuhoji na ulinijibu kuwa ni cotton na hufanya miguu isinuke kwa vile hunyonya maji na kuacha ukavu.
Ahsante miguu yangu hainuki siku hizi na bure sijatumia dawa. Wape elimu wateja wanakuelewa ahsante sana we dada hapo Morogoro mjini.
But hivi karibuni uliniuzua sox kwa shilingi 2000 tu baada ya kukuhoji na ulinijibu kuwa ni cotton na hufanya miguu isinuke kwa vile hunyonya maji na kuacha ukavu.
Ahsante miguu yangu hainuki siku hizi na bure sijatumia dawa. Wape elimu wateja wanakuelewa ahsante sana we dada hapo Morogoro mjini.