mi huku siku hizi huwa nakuja kutafuta nyuzi za bwana le mutuz tu niburudike
View attachment 205264
View attachment 205265
Kwenye huu uzi hapa chini kuna ndugu zangu walikomaa kweli wakipingana na hiki alichokisema diamond leo Diamond umethibitisha mwenyewe
www.jamiiforums.com/celebrities-forum/754935-diamond-ameonesha-njia.html#post11116555
Nimeamua kumfuata instagram...hapa nishacheka roho nyeupeee....mwenyewe kaweka picha anarembua eti kachoka baada ya event....yule babu kiboko.
Yule babu aachwe vilevile maana ana upekee wake japo umechanganyikana na utahira humo humo.
Mbaya zaidi, mtu mwenyewe ambae alisema Diamond ndie mwanzilishi, nimefuatilia huo mjadala ni mtu mmoja tu lakini mpwa kaja na thread na kusema mashabiki wa Diamond... maajabu haya!!Una uhakika gani anawasema team dai ..
Anayepaswa kunya boga ni yule aliyekosa hela ya kutoa video
Diamond 25
ALIKIBA 31
Diamond katoka september/2009
ALIKIBA katoka 2005
Sasa mbona hamuiti Brother ALI.?
acheni kutoa sifa za uongo..
Hata q chief hjawah kumuita Braza Chillah,wakat alikua anamcfia..
Alikiba ni mchoyo yule na ana roho mbayaaaaaaa....ana roho ya kwanini...ndo maana hatafika sehemu
Ipake rangi iwe nyeupe basi
Alikiba ni mchoyo yule na ana roho mbayaaaaaaa....ana roho ya kwanini...ndo maana hatafika sehemu
Ili iweje?
Ili iwe ka yako akupendezeshe:what::what:
Wewe una roho nzuri????? Alikunyima nini hadi useme ana roho mbaya?
Wewe shabiki mandazi tu...huna lolote
Ha ha ha umepaniki eeh umejuaje kuwa mi shabiki maandazi kama si na wewe mmoja wao ukitiwa tu hamira unavimba na kupoteza network. Heeeeeeeeeeeeeiyaππππ:what:π±π±
Hamira ndio nini.? eti shabiki mandazi....nyie ndio mnaosifia tu bila fact...pheeeewwww