Asante kocha pablo kukataa offer ya orlando pirates

Asante kocha pablo kukataa offer ya orlando pirates

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Amini usiamini Pirates wamefanya vizuri kwenye kundi lao lakini mashabiki wao hawana imani na wachezaji wengi team na haswa kocha wao sasa kumbe CEO wa pirates alikuwa busy kumpa offer nono Bwana Pablo ambaye kakataa akiamini analo jukumu la kukamilisha simba

Siku nasikia kocha huyu wa zamani wa GETAFE akiwa simba atalipwa usd 15,000 per month nilijua huyu kaamua kuifanya simba kama njia ya kupitia mana kishingo mwenyewe anakula hela ndefu huko Morocco

Kwa hakika huyu akiifikisha simba hata nusu fainali msimu ujao itakuwa ngumu kumbakiza na ndicho hata utopolo kocha wao anawaringia kuongeza mkataba maana kuna mateams yana hela kama Zamalek , Orlando pirates hata kaizer chiefs wanahangaika na makocha.

Naamini usiamini jamaa hawa wa pirates wako serious na babu onyango kumchukua

Screen Shot 2022-04-05 at 7.44.52 PM.png
 
GUVU MOYA WAKITOLEWA ROBO FAINALI UTASIKIA KWA MAKUBALIANO YA PANDE ZOTE MBILI KOCHA AMEAMUA KUJIUZULU KWA MUSTAKABALI WA TIMU...

Kama kocha ana malengo mazuri na timu na mradi mzuri guvu moya wasimfukuze waendelee nae yasije yakamkuta ya SVEN na Didier Gomes Da Rosa
 
GUVU MOYA WAKITOLEWA ROBO FAINALI UTASIKIA KWA MAKUBALIANO YA PANDE ZOTE MBILI KOCHA AMEAMUA KUJIUZULU KWA MUSTAKABALI WA TIMU...

Kama kocha ana malengo mazuri na timu na mradi mzuri guvu moya wasimfukuze waendelee nae yasije yakamkuta ya SVEN na Didier Gomes Da Rosa
Itakuwa kosa kubwa sana kocha hana raha na wachezaji wengi ndo maan hata juzi bada ya mechi aliwasifia asec mimosah kwamba wana wachezaji wazuri sana na berkane wana nguvu za kiuchumi, hata yeye anasubiri mwezi wa sita apate wachezaji kama 6 wapya kumtoa kwa sasa itakuwa kosa kubwa huyu ataenda south africa na aatafanya maajabu
 
Itakuwa kosa kubwa sana kocha hana raha na wachezaji wengi ndo maan hata juzi bada ya mechi aliwasifia asec mimosah kwamba wana wachezaji wazuri sana na berkane wana nguvu za kiuchumi, hata yeye anasubiri mwezi wa sita apate wachezaji kama 6 wapya kumtoa kwa sasa itakuwa kosa kubwa huyu ataenda south africa na aatafanya maajabu
sure
 
Back
Top Bottom