Asante kwa kuchagua Vodacom, Namba ya Mtumiaji unayempigia haipatikani kwa sasa

yaani unapiga tigo-tigo unaambiwa asante kwa kutumia vodacom? hii chai imezidi hi
Inawezekana hii..!!!
Embu fikiria... Unayempigia (Wa tiGo mwenzio), kadaiveti calls zake ziende kwenye namba ya VodaCom.... Unapompigia kwenye namba yake ya tiGo, kama haipatikani au kutegemeana na divert conditions alizoziseti, itaenda huko alikodaiveti (VODA in this case). Kama namba yake ya VodaCom nayo imezimwa, unategemea usikie nini? Ndo hayo maelezo ya voda kwenye namba uliyopiga ya tiGo..
 
Mlio mmoja afu inatumia, UMEKULA BULOKU MKUU
 
Huu ujumbe umekuwa unasikika mara nyingi sana hata kama unapiga simu kutoka Tigo kwenda Tigo au Halotel au mtandao mwingine usiohusiana kabisa na Vodacom. Je kuna kuhujumiana kunafanyika humo mitandaoni?
Mambo ya calls diversion mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…