Asante Lionel Messi, kila la heri fundi wa mpira ambae mimi nimekushuhudia

Guardiola anaamini Messi atamsaidia kuleta UEFA hapo Etihad?...
Guardiola ndiye baba mlezi wa Messi nina uhakika yy mwenyewe anajua Messi atamtumia vipi.Messi bado ana misimu kama 2 au 3 ya kucheza soka la ushindani.
 
Guardiola ndiye baba mlezi wa Messi nina uhakika yy mwenyewe anajua Messi atamtumia vipi.Messi bado ana misimu kama 2 au 3 ya kucheza soka la ushindani.
Guardiola bila Messi hawezi kuchukua UEFA ndio maana hata alipokuwepo Bayern alishindwa japo alikuwa na kikosi kizuri.
 
Guardiola bila Messi hawezi kuchukua UEFA ndio maana hata alipokuwepo Bayern alishindwa japo alikuwa na kikosi kizuri.
Ata alivyokuwa Bayern alijaribu kumshawishi Messi ajiunge nae lkn ikashindikana.
 
Guardiola ndiye baba mlezi wa Messi nina uhakika yy mwenyewe anajua Messi atamtumia vipi.Messi bado ana misimu kama 2 au 3 ya kucheza soka la ushindani.

Siyo EPL mkuu.

EPL hakuna magoli ya hisani, EPL mchezaji kumaliza ligi akiwa na goli 32 ni bonge la record, wakati Spain, Italy, Germany ni kawaida kuvusha 30.

Naamini kama anataka retirement ya akili, aende PSG. Baada ya miaka 2 aende US.

EPL patamzeesha mapema tu.
 
Kama kuna watu hapa ulimwenguni ambao tunamkubali Messi nahisi mimi ni namba Moja.

The genius of Football
The Mysterio Leo

Lionel Andres Cuccitini Messi

Rekodi zake baadhi
1.Mfungaji bora wa liga wa muda wote.
2.Mchezaji mwenye assists nyingi la liga wa muda wote.
3.Mchezaji aliyewahi kufunga magoli mengi katika msimu mmoja(Magoli 92 mwaka 2012?
4.Mfungaji bora wa Argentina wa muda wote.
5.Mmilki wa Golden Boot Nyingi kuliko mchezaji yeyote golden boot 6
6.Mchezaji aliyetunukiwa Man of The Match Nyingi kuliko yoyote Ulaya.
7.Mwenye magoli mengi ya free kick kuliko timu zote Ulaya

NB:yaani ukichukua magoli ya freekick ya timu zote Ulaya kwa sasa ukalinganisha na ya Messi ya Messi ni mengi.

8.Mchezaji mwenye magoli mengi ya nje ya boksi kuanzia 2014 mpaka Leo

9.Mchezaji mwenye Tuzo za Mchezaji bora nyingi kuliko yeyote(ballon D'or 6)


Rekodi ni nyingi nikianza kuzitaja ntamaliza kesho....

Na hivyo vyote alivyovifanya ni mgonjwa alizaliwa na upungufu wa growth hormone je kama angezaliwa mzima unafikiri tungepata la kusema kweli
 
Fundi wa mpira asiye jua ku motivate wenzake timu inapo lemewaView attachment 1548635

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Timu isha elemewa unai motivate vipi,kosa la Barca hawanaga plan B ya kuapply defense ili kupunguza magoli siku zile wali helemewa.

Unawa motivate watu atleast mnaongozwa goli moja au mbili ,kuanzia 3 ktk hatua kama ile mkichomoa zali.
 
Muda utaongea ila ila mimi naamini Messi bado mzuri na kwa EPL ana uwezo wa kufunga goli zaidi ya 25 kwa msimu.
 
Muda utaongea ila ila mimi naamini Messi bado mzuri na kwa EPL ana uwezo wa kufunga goli zaidi ya 25 kwa msimu.

Pitia statistics za EPL vizuri, toka iwe mfumo wa timu 20, 32 goals in a season ndo the highest, na imetokea mara 1 tu.

Sasa kwa umri wa Messi, 25 hawezi kufunga, hata 20 ni mlima kwake.

Nasema hivi kwa sababu kwa age yake, likelihood ya kukutana na majeruhi ni kubwa kwa sababu ligi iko so competitive, na majeruhi ya umri wake yanakuwa yanachelewa kupona.

Hawezi kucheza mechi 30 za EPL, acheze UEFA na probably FA.
 
OK ila MUDA UTAONGEA,ila naamini atavuka zaid ya goli 25.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…