idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
Amsema Yanga sio maskini hadi kuwa ombaomba.
Amesema katika uchunguzi wake wa juujuu amegundua Yanga inamashabiki zaidi milioni 5, amesema mashabiki hao kila mmoja akichangia 2500 kwa mwezi ni zaidi ya bilioni 2.5 kwa mwezi , hivyo Yanga sio Maskini tena.
Amesema sasa hivi wanampango wa kufungua akaunti crb, signature atakuwa Yeye Zahera,Ajibu na Salehe kiongozi wa Uangalizi hivyo mashabiki msiwe na wasiwasi na pesa zenu.
Amesema sasa hivi yupo Studio na wachezaji 7 wakitengeneza tangazo litatoka wiki ijayo kuhamasisha mashabiki kuchangia timu yao...
Asante Zahera Mungu akubariki, ila kuna watu hawajapendezwa na kauli yako hivyo tegemea Majungu.
Amesema katika uchunguzi wake wa juujuu amegundua Yanga inamashabiki zaidi milioni 5, amesema mashabiki hao kila mmoja akichangia 2500 kwa mwezi ni zaidi ya bilioni 2.5 kwa mwezi , hivyo Yanga sio Maskini tena.
Amesema sasa hivi wanampango wa kufungua akaunti crb, signature atakuwa Yeye Zahera,Ajibu na Salehe kiongozi wa Uangalizi hivyo mashabiki msiwe na wasiwasi na pesa zenu.
Amesema sasa hivi yupo Studio na wachezaji 7 wakitengeneza tangazo litatoka wiki ijayo kuhamasisha mashabiki kuchangia timu yao...
Asante Zahera Mungu akubariki, ila kuna watu hawajapendezwa na kauli yako hivyo tegemea Majungu.