Asante mama Salma K..mwalike na mzee pia

ulichotumia wewe. Kama wewe umetumia Masaburi poa.

wewe ni mmakonde? wakwere wameoa kwenu? mbona imekuuma? mimi nimemuomba mama afikishe ujumbe tu kwa mkuu wewe kinakuuma nini?
 
Mipasho, he he he he, Isha Mashauzi at work.
 
wewe ni mmakonde? wakwere wameoa kwenu? mbona imekuuma? mimi nimemuomba mama afikishe ujumbe tu kwa mkuu wewe kinakuuma nini?

any way, mpigie simu. Sio kuja kuchafua hali ya hewa na post zisizokuwa na kichwa wala miguu.
 
any way, mpigie simu. Sio kuja kuchafua hali ya hewa na post zisizokuwa na kichwa wala miguu.

haya bana yaishe nakuheshimu kuu wangu nilikiwa sina maana ya kuchafua jukwaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…