Sasa Bata wapi mkuu.wakuu kwa mara ya kwanza leo toka nianze kubet ndo leo napata ushindi kwa kuwaua man u ingawa ni timu yangu ninayo ipenda kutoka kundumbula na wasipo mfukuza kocha lazima tushuke daraja,nimemuua.MAN U,MAN CITY,asrsenal win dr,chelsea win dir.roma1x na nimeshinda.M1 laki6 na 52 na kbla ya kuwin muhindi alikua ameshanila elfu80.
bila picha ya slip huu uzi ni uzshiwakuu kwa mara ya kwanza leo toka nianze kubet ndo leo napata ushindi kwa kuwaua man u ingawa ni timu yangu ninayo ipenda kutoka kundumbula na wasipo mfukuza kocha lazima tushuke daraja,nimemuua.MAN U,MAN CITY,asrsenal win dr,chelsea win dir.roma1x na nimeshinda.M1 laki6 na 52 na kbla ya kuwin muhindi alikua ameshanila elfu80.
Weekend si ndo hii inaishiria mzee baba.ahahahahaha mpaka weekend mkuu
wakuu kwa mara ya kwanza leo toka nianze kubet ndo leo napata ushindi kwa kuwaua man u ingawa ni timu yangu ninayo ipenda kutoka kundumbula na wasipo mfukuza kocha lazima tushuke daraja,nimemuua.MAN U,MAN CITY,asrsenal win dr,chelsea win dir.roma1x na nimeshinda.M1 laki6 na 52 na kbla ya kuwin muhindi alikua ameshanila elfu80.
Man city ilikuwa wazi sare ushindi sikuuona ila man u nilijua anakufa .nilichukua maamuzi magumu mkuu toka juzi naichambua mechi.