TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 930
- 1,290
Wakuu habari zenu,
Naomba nitoe shukrani zangu za dhati kwa uongozi mzima wa JamiiForums maana nimekuwa nikifaidika kila mwezi kwa kupata kipato cha kununulia vocha mjini.
Niliweka post humu JF inayohusu kupeleka watu kwenye machimbo mbalimbali original ya bidhaa kwa bei ya jumla nikasema machimbo yoyote unayotaka wewe nitakupeleka.
Hii kazi ninafanya zaidi ya miezi sita, napeleka watu kwenye machimbo ya Kariakoo yanayouza vitu vya jumla kutoka kwa Wachina na wazawa hivyo uungwana ni kushukuru kwa platfom hii kwa kuwa napata elimu na pia napata kipato.
Asanteni sana JF. Kwa anayehitaji huduma hii niko free any time call 0757994417.
VIVA JF VIVA....
Naomba nitoe shukrani zangu za dhati kwa uongozi mzima wa JamiiForums maana nimekuwa nikifaidika kila mwezi kwa kupata kipato cha kununulia vocha mjini.
Niliweka post humu JF inayohusu kupeleka watu kwenye machimbo mbalimbali original ya bidhaa kwa bei ya jumla nikasema machimbo yoyote unayotaka wewe nitakupeleka.
Hii kazi ninafanya zaidi ya miezi sita, napeleka watu kwenye machimbo ya Kariakoo yanayouza vitu vya jumla kutoka kwa Wachina na wazawa hivyo uungwana ni kushukuru kwa platfom hii kwa kuwa napata elimu na pia napata kipato.
Asanteni sana JF. Kwa anayehitaji huduma hii niko free any time call 0757994417.
VIVA JF VIVA....