Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Mpishi Kaniona Sana Boya Mkuu Ila Sitakula Tena Hiki Chakula [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahahahaa....ninacheka mimi jamani...mm naweza kula samaki hata 30dys mwanza..yaan sitak wali wala ugali wao ..nikichoka sana kiepe samaki..hahahaa mapishi huko nenda hotel classic mkuu[emoji1787][emoji1787]
Nimelishwa birian la Rangi [emoji3][emoji3][emoji3]Mpishi Kaniona Sana Boya Mkuu Ila Sitakula Tena Hiki Chakula [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo shida ni mchele alotumia lakini biriyan lazima liwe na rangiNimelishwa birian la Rangi [emoji3][emoji3][emoji3]
Kwanza msukuma na biriani wapi na wapi jamanπ€£π π π π π
Nyie, eti ni wasukuma na biriani...
ππππwasukuma muwe mnauliza vitu vingine, kama chakula cha bataWakuu Jana Nimejichanganya Sehemu Moja Mwanza nikaambiwa wanapika birian Zuri Sana Nilichokutana nacho Mungu anajua..... Asanteni Sana Mwanza [emoji1487][emoji1487][emoji1487]View attachment 1803443
We ulisikia wapi Mkuu πππKwanza msukuma na biriani wapi na wapi jamanπ€£
Hahahaa ulisikia wapi?We ulisikia wapi Mkuu πππ
πππNaona umelishwa cheuro hapo.
Ni bora angeandika, asanteni kwa kunilisha cheulo.Naona umelishwa cheuro hapo.
Nina mpango wa kufungua restaurant mje mle kujibaragazaHahahahahaa! Ninacheka mimi jamani. Mimi naweza kula samaki hata 30dys Mwanza..yaan sitaki wali wala ugali wao. Nikichoka sana kiepe samaki. Hahahaa mapishi huko nenda hotel classic mkuuπ€£π€£
Yes atulize wenge ahakikishe biriani limeisha hizo parachichi amalize na apige maji Kama nusu Lita then anisake hapa Nyegezi Kona nimpe of a ya bia mbili tatu akalaleMkuu acha mambo mengi......hilo ni biriani la type ya Mwanza.....mabiriani yanatofautiana kulingana na eneo ulilopo.......piga msosi........