GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna Tamasha langu dogo tu nililiandaa jana mahala fulani ambako kiukweli huku huwa kuna Fujo hasa kutokana na Historia ya Wakazi wa huko. Hivyo basi katika kuamua kujizatiti ili lisiharibike na hao Wahuni katika Ubao wangu wa Tangazo na Viingilio kwa chini nikasema Adam Mchomvu atakuwepo kama Mlinzi ( Mtunza Amani ) na kiukweli hadi mwisho hakukutokea Fujo yoyote ile.
Asante mno Adam Mchomvu.
Asante mno Adam Mchomvu.