Asante sana Zamalek kwa kutuondolea aibu

Pettymagambo

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2017
Posts
1,490
Reaction score
8,227
Ingekuwa aibu na fedheha kama zamalek ingetolewa na hawa Arta Solar ya Djibout, lakini fulltime Zamalek 4-1 Arta Solar, agrigate 4-3.

Alianza Zamalek kuchezea kipigo cha 2-0 ugenini! Katika game yaleo mpaka half time Zamalek alikuwa nyuma kwa goli moja hivyo kudaiwa goli 4 ndani ya dakika 45 za kipindi cha pili!

Wanaume wamepambana na kukwepa fedheha na hatimae dakika ya 89 wakaweka chuma cha 4! Hakika ingekuwa aibu sana na fedheha kama aliyoipata Pirates jana.
 
Mechi iliyopita nilimuona Salomon Kalou anaichezea hii timu , sijajua Alex song kama bado yupo au kashaacha kuichezea hii timu.. itakuwa wana hela hawa jamaa si bure!
 
Mechi iliyopita nilimuona Salomon Kalou anaichezea hii timu , sijajua Alex song kama bado yupo au kashaacha kuichezea hii timu.. itakuwa wana hela hawa jamaa si bure!
Wanamkwanja wale watu.
 
Man city! Man city! Man city!

Manyu! Manyu! Manyu!
Mmenilaza na boksa ya jinsi leo.
 
Kuiona Arta Solar kwamba haitakiwi kushinda dhidi ya Zamalek ni uchwara mkubwa sana. Mpira ni mchezo wa makosa na yeyote anafungwa. Morocco alipoifunga ureno world cup uliona aibu?
GENTAMYCINE anakuuliza, umeshaukweka kwanza? maana huenda tunasumbuliwa na mtu aliebanwa mkweko.
 
Nilitamani ki Zamalek kitolewe
 
Ameponea chupu chupu ila wamisri wanaongoza kwa kubebwa ndiyo maana Kwenye world club championship au World Cup hawafanyi vizuri , huko bondeni Jwaneng galaxy amemtoa kigogo Orlando pirates
 
Zamalek hakuna kitu siku hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…