Hujasoma sheria inasemaje?Kama mtu huna ajira ni afadhali utafute tu namna ya kujiajiri.
Ajira za serikali zina changamoto zake nyingi!
Fikiria mtu anaajiriwa kwa mshahara wa laki 4 kwa mwezi!
Kama haitoshi mtu huyu ananyimwa nyongeza ya mshahara kwa kigezo cha ajira mpya ilihali gharama za maisha ziko juu kwa wote!
Acha kazi,Mimi nimeanza ajira napokea 460,000 basic,take home 380,000, milisavavu hadi muda huu niko kwa 790,000 basic,take home 500,000+,can you imagine!?,bado mikopo,ukiweka na mikopo nabaki na 263,000 ila maisha yanasonga,maana nakula na nimejenga nyumba,Kama mtu huna ajira ni afadhali utafute tu namna ya kujiajiri.
Ajira za serikali zina changamoto zake nyingi!
Fikiria mtu anaajiriwa kwa mshahara wa laki 4 kwa mwezi!
Kama haitoshi mtu huyu ananyimwa nyongeza ya mshahara kwa kigezo cha ajira mpya ilihali gharama za maisha ziko juu kwa wote!
Jaribu kuacha kama hujajipanga utashangaa na roho yakoMshahara ni pesa ya kula tu, alishasema Mzee Wassira
Ajira mpya utapewaje nyongeza, subiri mwakani au hujui maana ya "annual increment"?Kama mtu huna ajira ni afadhali utafute tu namna ya kujiajiri.
Ajira za serikali zina changamoto zake nyingi!
Fikiria mtu anaajiriwa kwa mshahara wa laki 4 kwa mwezi.
Kama haitoshi mtu huyu ananyimwa nyongeza ya mshahara kwa kigezo cha ajira mpya ilihali gharama za maisha ziko juu kwa wote.
KATAA AJIRA, AJIRA NI UTAPELIKama mtu huna ajira ni afadhali utafute tu namna ya kujiajiri.
Ajira za serikali zina changamoto zake nyingi!
Fikiria mtu anaajiriwa kwa mshahara wa laki 4 kwa mwezi.
Kama haitoshi mtu huyu ananyimwa nyongeza ya mshahara kwa kigezo cha ajira mpya ilihali gharama za maisha ziko juu kwa wote.
Hiyo sio Nyongeza ya Mshahara ni anual increment sasa wewe upewe anual increament wakat upo kwenye probation hebu subiri kwanza usote upate comfirmation letter angalau utambulike kama mtumishi wa umma sasa hivi bado upo kwenye vettingKama mtu huna ajira ni afadhali utafute tu namna ya kujiajiri.
Ajira za serikali zina changamoto zake nyingi!
Fikiria mtu anaajiriwa kwa mshahara wa laki 4 kwa mwezi.
Kama haitoshi mtu huyu ananyimwa nyongeza ya mshahara kwa kigezo cha ajira mpya ilihali gharama za maisha ziko juu kwa wote.
Duh ni Ticha wa Primary?Acha kazi,Mimi nimeanza ajira napokea 460,000 basic,take home 380,000, milisavavu hadi muda huu niko kwa 790,000 basic,take home 500,000+,can you imagine!?,bado mikopo,ukiweka na mikopo nabaki na 263,000 ila maisha yanasonga,maana nakula na nimejenga nyumba,
Siwezi kulalamika maana sijafungwa namba ninao uwezo wa kuacha kazi Mara moja nikitaka
Safi sana ndugu ..pambana ununue na kausafiri kadogoAcha kazi,Mimi nimeanza ajira napokea 460,000 basic,take home 380,000, milisavavu hadi muda huu niko kwa 790,000 basic,take home 500,000+,can you imagine!?,bado mikopo,ukiweka na mikopo nabaki na 263,000 ila maisha yanasonga,maana nakula na nimejenga nyumba,
Siwezi kulalamika maana sijafungwa namba ninao uwezo wa kuacha kazi Mara moja nikitaka
Hii nzuriAjira haikufanyi kuwa tajiri but at least haikufanyi kuwa masikini kupita kiasi...
Daaa laki tano, unaona kubwa, hiyo ni hela ya posho kwa watu fulaniAcha kazi,Mimi nimeanza ajira napokea 460,000 basic,take home 380,000, milisavavu hadi muda huu niko kwa 790,000 basic,take home 500,000+,can you imagine!?,bado mikopo,ukiweka na mikopo nabaki na 263,000 ila maisha yanasonga,maana nakula na nimejenga nyumba,
Siwezi kulalamika maana sijafungwa namba ninao uwezo wa kuacha kazi Mara moja nikitaka
Kwahyo kama ww unaipokea hyo..uache kufanya hyo kazi kwasababu kuna mtu analipwa zaidi yako?Daaa laki tano, unaona kubwa, hiyo ni hela ya posho kwa watu fulani
Elimu Yako ndogo sana ungekuwa engineer kwa sasa ungekuwa unalipwa 1,500,000/-Acha kazi,Mimi nimeanza ajira napokea 460,000 basic,take home 380,000, milisavavu hadi muda huu niko kwa 790,000 basic,take home 500,000+,can you imagine!?,bado mikopo,ukiweka na mikopo nabaki na 263,000 ila maisha yanasonga,maana nakula na nimejenga nyumba,
Siwezi kulalamika maana sijafungwa namba ninao uwezo wa kuacha kazi Mara moja nikitaka
Mtu upo kazini miaka zaidi ya 10 na bado unawaza suala la mshahara kweli?Elimu Yako ndogo sana ungekuwa engineer kwa sasa ungekuwa unalipwa 1,500,000/-