Asante Simba,zile goli 2 zinawapa kiwewe yanga hata wakichukua vikombe vyote

Asante Simba,zile goli 2 zinawapa kiwewe yanga hata wakichukua vikombe vyote

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Kwa kweli ninajisikia raha sana kuona jinsi hawa jamaa zetu wanavyohangaika kutafuta furaha baada ya kupigwa mikuki miwili bila majibu.

Wana Simba tunawa enjoy sana kiasi kwamba hata lile tamasha lao eti la kutucheka nina uhakika litabuma.
Mtu mwenye uchungu moyoni anawezaje kucheka?
Pamoja na kwamba ubingwa wanao tayari na wako nusu fainali kombe waliloliita la luza,bado hawana furaha.

Hawa jamaa kumfunga Simba ndiyo furaha yao kubwa mno duniani.Hahahaaa!

Simba nguvu moja


Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kweli ninajisikia raha sana kuona jinsi hawa jamaa zetu wanavyohangaika kutafuta furaha baada ya kupigwa mikuki miwili bila majibu.

Wana Simba tunawa enjoy sana kiasi kwamba hata lile tamasha lao eti la kutucheka nina uhakika litabuma.
Mtu mwenye uchungu moyoni anawezaje kucheka?
Pamoja na kwamba ubingwa wanao tayari na wako nusu fainali kombe waliloliita la luza,bado hawana furaha.

Hawa jamaa kumfunga Simba ndiyo furaha yao kubwa mno duniani.Hahahaaa!

Simba nguvu moja


Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Ule ushindi wa goli mbili ndiyo Kombe lenu hilo
 
Ule ushindi wa goli mbili ndiyo Kombe lenu hilo
Maana ndicho kinawatesa kuliko hata pesa nyingi tulizovuna champions league.

Na mimi nafurahi sana kwa kuwa mnajifariji tu moyoni,ila mnauchungu sana.

Suala la Kombe kuna PSG huko na kuna timu nyingi kubwa hawatachukua vikombe vikubwa.Ni kawaida kwenye mpira.
Ila nyie uto hamuelewi ndio maana mna maumivu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kweli ninajisikia raha sana kuona jinsi hawa jamaa zetu wanavyohangaika kutafuta furaha baada ya kupigwa mikuki miwili bila majibu.

Wana Simba tunawa enjoy sana kiasi kwamba hata lile tamasha lao eti la kutucheka nina uhakika litabuma.
Mtu mwenye uchungu moyoni anawezaje kucheka?
Pamoja na kwamba ubingwa wanao tayari na wako nusu fainali kombe waliloliita la luza,bado hawana furaha.

Hawa jamaa kumfunga Simba ndiyo furaha yao kubwa mno duniani.Hahahaaa!

Simba nguvu moja


Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Popoma
 
Alivyobugizwa Tu Mbili Inatosha Sana Sana, Hawakuamini Macho Yao
 
Na Imeandikwaa!!"""kila mmoja Ataubeba msalaba wake Yeye Mwenyewe""
 
Maana ndicho kinawatesa kuliko hata pesa nyingi tulizovuna champions league.

Na mimi nafurahi sana kwa kuwa mnajifariji tu moyoni,ila mnauchungu sana.

Suala la Kombe kuna PSG huko na kuna timu nyingi kubwa hawatachukua vikombe vikubwa.Ni kawaida kwenye mpira.
Ila nyie uto hamuelewi ndio maana mna maumivu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile ap
Kwa kweli ninajisikia raha sana kuona jinsi hawa jamaa zetu wanavyohangaika kutafuta furaha baada ya kupigwa mikuki miwili bila majibu.

Wana Simba tunawa enjoy sana kiasi kwamba hata lile tamasha lao eti la kutucheka nina uhakika litabuma.
Mtu mwenye uchungu moyoni anawezaje kucheka?
Pamoja na kwamba ubingwa wanao tayari na wako nusu fainali kombe waliloliita la luza,bado hawana furaha.

Hawa jamaa kumfunga Simba ndiyo furaha yao kubwa mno duniani.Hahahaaa!

Simba nguvu moja


Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
PSG KOMBE KUBWA ALICHUKUA LINI KWAMBA AKILIKOSA ATAONA AMEKOSA?
 
Kwa kweli ninajisikia raha sana kuona jinsi hawa jamaa zetu wanavyohangaika kutafuta furaha baada ya kupigwa mikuki miwili bila majibu.

Wana Simba tunawa enjoy sana kiasi kwamba hata lile tamasha lao eti la kutucheka nina uhakika litabuma.
Mtu mwenye uchungu moyoni anawezaje kucheka?
Pamoja na kwamba ubingwa wanao tayari na wako nusu fainali kombe waliloliita la luza,bado hawana furaha.

Hawa jamaa kumfunga Simba ndiyo furaha yao kubwa mno duniani.Hahahaaa!

Simba nguvu moja


Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
asa zile pre season za kuzunguka dunia nzima ndo kusema lengo lilikuwa kumfunga mtani!!!NDO MAANA CJUTII KUHAMA HII TIMU MADUNDUKA FC
 
For sure sikupenda kile kipigo cha haraka haraka.

All in all hilo ndo kombe lenu pekee mlilobaki nalo. Azam atakupiga kama ngoma, ukimponyoka utakutana na dude, Young Africans Sports Club, atakuonesha kazi.
 
Raha ya mechi ni bao, Lakini furaha ya mashindano ni UBINGWA💪💪💪💪💪
 
Raha ya mechi ni bao, Lakini furaha ya mashindano ni UBINGWA[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Huna furaha una kidonda mpenda sifa za kuifunga Simba.

Na sisi tuliamua kupiga pale tu kwenye furaha yenu.


Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom