Asante speaker wetu mh Tulia Ackson mwansasu kwa mchango wako wa mabati mbozi

Asante speaker wetu mh Tulia Ackson mwansasu kwa mchango wako wa mabati mbozi

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zanguni sote tunajuwa ya kuwa my Tulia no mbunge wa mbeya mjini, lakini katika Hali iliyowaacha Wana mbozi mdomo wazi Ni pale mh speaker alipokuja Jimbo la mbozi na wadau wake wa silent ocean na kuweza kusaidiaa mchango wa mabati karibu Mia mbili ili kuezeka vyumba vya madarasa katika shule ya msingi mabatini, kiukweli moyo huo Ni wakipekee Sana ulioweza kuonyesha kwetu Wana mlowo, Tunakuombea kwa mwenyezi mungu ili azidi kukupa maisha marefu yenye heri na haraka, maana mabati hayo ungeweza kupitia wadau wako kuweza kuweka jimboni kwako lakini ukatusaidia nasi kwa kuguswa na shida za wanafunzi walizokuwa wakipata ikiwepo kugongwa na magari wanapovuka lami, lakini kwa Sasa watoto Hawa wataendelea kuwa salama na siku moja tutapata viongozi wakubwa kupitia wanafunzi Hawa, kiukweli umeacha gumzo kubwa Sana huku mbozi, karibu Tena mh speaker, karibu Tena mbozi
 
Hakika aliona mbali Sanaa, kiukweli alituchangia sanaaa, hadi mh Juliana shonza mbunge wa Vito maalum mkoa wa songwe Naye akamuunga mkono kwa kuchangia mifuko sabini ya cement ili kukarabati madarasa hayo, ambapo yatasaidia kupunguza mrundikano wa wanafunzi katika madarasa machache yaliyo kuwa yameezekwa
Magufuli aliona mbali kumleta Dk Tulia
 
Back
Top Bottom