Asante "tamwa"

Digaller

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2009
Posts
798
Reaction score
541
Katika hali inayoonekana ni upendo wa khali ya JUU, nilikata rufaa baada ya "Lizzy" kukataa ombi langu, asanteni TAMWA kwani lile lengo langu la kujiua nimelisitisha kwa sababu ya ushauri wenu kwangu. LD kama unataka kuwa na mimi tafadhari usiwe na wivu kila ntakapokutana na "LIZZY" kuz ntashindwa kumwonyesha hisia zangu kwake. Asanteni TAMWA asanteni JF nimerudi kulijenga TAIFA....!!?
 
Gbollin you need help bro kama upo Dar pale Muhimbili psychiatry wanafanya canselling kila j4 na ijumaa wahi asubuhi kupata nafasi watakusaidia kwenye hili swala la obsession.
 
Gbollin you need help bro kama upo Dar pale Muhimbili psychiatry wanafanya canselling kila j4 na ijumaa wahi asubuhi kupata nafasi watakusaidia kwenye hili swala la obsession.

Hahhahhahahha.....Best advice ever!!!:amen:
GB afadhali umesitisha uamuzi wako!!!Jamvi halikua tayari kukupoteza!!!!:smile-big:
 
Gbollin you need help bro kama upo Dar pale Muhimbili psychiatry wanafanya canselling kila j4 na ijumaa wahi asubuhi kupata nafasi watakusaidia kwenye hili swala la obsession.
she's a retard
 
Hata hivo nimeghairi, nia yangu ilikuwa ni kukuokoa usijinyonge/jiue, kwa sababu hilo limefanikiwa basi naendelea na maisha yangu kama yalivokuwa.
 
Hata hivo nimeghairi, nia yangu ilikuwa ni kukuokoa usijinyonge/jiue, kwa sababu hilo limefanikiwa basi naendelea na maisha yangu kama yalivokuwa.
Hahaha! LD acha usanii bana kasitisha kujinyonga baada ya wewe kumhakikishia kumliwaza sasa ukijitoa si tutarudi palepale na kamba nimesikia hajaitupa bado lol!
 
Nadhani ng'ombe wake(kichwani) wameenda kuchunga:msela:...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…