Asante TFF kutuwekea refa wa kimkakati kwenye game za kimkakati

Asante TFF kutuwekea refa wa kimkakati kwenye game za kimkakati

kilwakivinje

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
6,184
Reaction score
9,407
Sisi Kama wanalunyasi hatuna budi kumshukuru karia kuendelea kutuwekea refa wa kimkakati kwenye mechi zetu mpaka tuutwae ubingwa hata kama tunacheza mpira papatu papatu. Endelea kutumia udikteta wako hapo tff mpaka tubebe ubingwa kwa kishindo msimu huu

Tuweke imani kwa refa wetu wa kimkakati apangwe zile mechi ngumu za kutuzia kubeba ubingwa

Simba
Guvu moya
 
Sisi Kama wanalunyasi hatuna budi kumshukuru karia kuendelea kutuwekea refa wa kimkakati kwenye mechi zetu mpaka tuutwae ubingwa hata kama tunacheza mpira papatu papatu. Endelea kutumia udikteta wako hapo tff mpaka tubebe ubingwa kwa kishindo msimu huu

Tuweke imani kwa refa wetu wa kimkakati apangwe zile mechi ngumu za kutuzia kubeba ubingwa

Simba
Guvu moya
Karia atuwekee na refa wa kimkakati kwenye mechi yetu dhidi ya Al Ahyl
 
Sisi Kama wanalunyasi hatuna budi kumshukuru karia kuendelea kutuwekea refa wa kimkakati kwenye mechi zetu mpaka tuutwae ubingwa hata kama tunacheza mpira papatu papatu. Endelea kutumia udikteta wako hapo tff mpaka tubebe ubingwa kwa kishindo msimu huu

Tuweke imani kwa refa wetu wa kimkakati apangwe zile mechi ngumu za kutuzia kubeba ubingwa

Simba
Guvu moya
Ikiuma chomoa mkuu
 
Sisi Kama wanalunyasi hatuna budi kumshukuru karia kuendelea kutuwekea refa wa kimkakati kwenye mechi zetu mpaka tuutwae ubingwa hata kama tunacheza mpira papatu papatu. Endelea kutumia udikteta wako hapo tff mpaka tubebe ubingwa kwa kishindo msimu huu

Tuweke imani kwa refa wetu wa kimkakati apangwe zile mechi ngumu za kutuzia kubeba ubingwa

Simba
Guvu moya
Uto kwenye kivuli cha Mnyama....
Na mtasema..
 
Waoga wataogopa lakini makonki wala tunajilamba kwani tunauhakika na tunalo fanya hapo je?
 
images (2) (1) (1).jpeg
 
Ngoja kwanza wapigwe nje ndani na Al Ahly! Wakitolewa na hiyo Al Ahly, wanaenda tena kushika mkia kwenye makundi! Halafu baada ya hapo, watakuwa wamepoteana mazima.

Maana hata aje Karia mwenyewe kuwabeba, hawatabebeka tena.
 
Sisi Kama wanalunyasi hatuna budi kumshukuru karia kuendelea kutuwekea refa wa kimkakati kwenye mechi zetu mpaka tuutwae ubingwa hata kama tunacheza mpira papatu papatu. Endelea kutumia udikteta wako hapo tff mpaka tubebe ubingwa kwa kishindo msimu huu

Tuweke imani kwa refa wetu wa kimkakati apangwe zile mechi ngumu za kutuzia kubeba ubingwa

Simba
Guvu moya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakika [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sisi Kama wanalunyasi hatuna budi kumshukuru karia kuendelea kutuwekea refa wa kimkakati kwenye mechi zetu mpaka tuutwae ubingwa hata kama tunacheza mpira papatu papatu. Endelea kutumia udikteta wako hapo tff mpaka tubebe ubingwa kwa kishindo msimu huu

Tuweke imani kwa refa wetu wa kimkakati apangwe zile mechi ngumu za kutuzia kubeba ubingwa

Simba
Guvu moya
Bado hujatamka tunataka utamke vizuri nyie uto
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom