kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Sisi Kama wanalunyasi hatuna budi kumshukuru karia kuendelea kutuwekea refa wa kimkakati kwenye mechi zetu mpaka tuutwae ubingwa hata kama tunacheza mpira papatu papatu. Endelea kutumia udikteta wako hapo tff mpaka tubebe ubingwa kwa kishindo msimu huu
Tuweke imani kwa refa wetu wa kimkakati apangwe zile mechi ngumu za kutuzia kubeba ubingwa
Simba
Guvu moya
Tuweke imani kwa refa wetu wa kimkakati apangwe zile mechi ngumu za kutuzia kubeba ubingwa
Simba
Guvu moya