kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Karia atuwekee na refa wa kimkakati kwenye mechi yetu dhidi ya Al AhylSisi Kama wanalunyasi hatuna budi kumshukuru karia kuendelea kutuwekea refa wa kimkakati kwenye mechi zetu mpaka tuutwae ubingwa hata kama tunacheza mpira papatu papatu. Endelea kutumia udikteta wako hapo tff mpaka tubebe ubingwa kwa kishindo msimu huu
Tuweke imani kwa refa wetu wa kimkakati apangwe zile mechi ngumu za kutuzia kubeba ubingwa
Simba
Guvu moya
Ikiuma chomoa mkuuSisi Kama wanalunyasi hatuna budi kumshukuru karia kuendelea kutuwekea refa wa kimkakati kwenye mechi zetu mpaka tuutwae ubingwa hata kama tunacheza mpira papatu papatu. Endelea kutumia udikteta wako hapo tff mpaka tubebe ubingwa kwa kishindo msimu huu
Tuweke imani kwa refa wetu wa kimkakati apangwe zile mechi ngumu za kutuzia kubeba ubingwa
Simba
Guvu moya
Itapendeza sanaKaria atuwekee na refa wa kimkakati kwenye mechi yetu dhidi ya Al Ahyl
Uto kwenye kivuli cha Mnyama....Sisi Kama wanalunyasi hatuna budi kumshukuru karia kuendelea kutuwekea refa wa kimkakati kwenye mechi zetu mpaka tuutwae ubingwa hata kama tunacheza mpira papatu papatu. Endelea kutumia udikteta wako hapo tff mpaka tubebe ubingwa kwa kishindo msimu huu
Tuweke imani kwa refa wetu wa kimkakati apangwe zile mechi ngumu za kutuzia kubeba ubingwa
Simba
Guvu moya
Kivulo ndo nini?Uto kwenye kivulo cha Mnyama....
Na mtasema..
Kivuli....Kivulo ndo nini?
Kwani ulikuwa hujui.Huo ukosefu wa elimu unajidhihirisha hadi leo. Ndio asili ya jina gongowazi.
Mkuu mwanalunyasi mwenzangu umepaniki"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"
- DR LUC EYMAEL 2020
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi Kama wanalunyasi hatuna budi kumshukuru karia kuendelea kutuwekea refa wa kimkakati kwenye mechi zetu mpaka tuutwae ubingwa hata kama tunacheza mpira papatu papatu. Endelea kutumia udikteta wako hapo tff mpaka tubebe ubingwa kwa kishindo msimu huu
Tuweke imani kwa refa wetu wa kimkakati apangwe zile mechi ngumu za kutuzia kubeba ubingwa
Simba
Guvu moya
[emoji28]Kivulo ndo nini?
AaahaaaaNgoja kwanza wapigwe nje ndani na Al Ahly! Wakitolewa na hiyo Al Ahly, wanaenda tena kushika mkia kwenye makundi! Halafu baada ya hapo, watakuwa wamepoteana mazima.
Maana hata aje Karia mwenyewe kuwabeba, hawatabebeka tena.
Ndoto ya mchana hiyo shituka we babuNgoja kwanza wapigwe nje ndani na Al Ahly! Wakitolewa na hiyo Al Ahly, wanaenda tena kushika mkia kwenye makundi! Halafu baada ya hapo, watakuwa wamepoteana mazima.
Maana hata aje Karia mwenyewe kuwabeba, hawatabebeka tena.
Bado hujatamka tunataka utamke vizuri nyie utoSisi Kama wanalunyasi hatuna budi kumshukuru karia kuendelea kutuwekea refa wa kimkakati kwenye mechi zetu mpaka tuutwae ubingwa hata kama tunacheza mpira papatu papatu. Endelea kutumia udikteta wako hapo tff mpaka tubebe ubingwa kwa kishindo msimu huu
Tuweke imani kwa refa wetu wa kimkakati apangwe zile mechi ngumu za kutuzia kubeba ubingwa
Simba
Guvu moya