Asanteni kunikaribisha huku naomba ushirikiano

martin nyari

Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
45
Reaction score
12
Mimi ndiyo nimeingia jamiii fórum mtandao unaoongoza Tanzania
jamiii fórum ni magazeti
Jamiii fórum ni rádio
Jamiii fórum ni Tv
Jamiii fórum ni zaidi ya habari nimeipenda endelezeni maaadili ili pawa pazuri zaidi

Asanteni
 
Karibu jamvini lakini huu ni mtandao wa mijadala,karibu pia chadema usiwe ccm utapata dhambi kwa mungu maana mpenda mwovu hata mungu hampendi,so ccm wana dhurumu wakulima,nk
 
Karibu jamvini lakini huu ni mtandao wa mijadala,karibu pia chadema usiwe ccm utapata dhambi kwa mungu maana mpenda mwovu hata mungu hampendi,so ccm wana dhurumu wakulima,nk

Chadema hapana nilipokuwa mhuni zamani nilikuwa Chadema ila kwasasa hapana nipo ccm kwake kadi hii 542930
 
Mimi ndiyo nimeingia jamiii fórum mtandao unaoongoza Tanzania
jamiii fórum ni magazeti
Jamiii fórum ni rádio
Jamiii fórum ni Tv
Jamiii fórum ni zaidi ya habari nimeipenda endelezeni maaadili ili pawa pazuri zaidi

Asanteni

Pamoja na kwamba umepitia dirishani,karibu anyway, tulia kwenye kigoda usubiri zamu yako
 
Salama mkuu, siku hizi nimetindikiwa na shughuli kiasi huwa naja huku kwa nadra kidogo...kwema lakini?

Kwema kaka. Ndio mambo ya maisha, harakati zimezidi. Shukran.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…