Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Ndugu zangu kwema?
Kama kuna jambo zuri limefanyika sio mbaya tukipongeza. Barabara ya Mwenge kama mwezi hivi umepita kulikuwa na tabia ya magari yanayotoka Tegeta kupendelewa zaidi kwa kuruhusiwa kupita barabara zote.
Soma: Adha ya foleni katika makutano ya barabara ya Mwenge
Pamoja na kutatua tatizo hilo bado shida kubwa na utaratibu mbovu wa kuruhusu magari ipo eneo hilo muda wa jioni. Matrafki wamekuwa wakiruhusu magari ya kutoka mjini kwenda Mbezi Beach kwa upendeleo mkubwa na kuacha pande nyingine kwa muda mrefu.
Hivyo tunaomba mamlaka husika ziweke taratibu nzuri za kuruhusu magari kwa usawa maana Watanzania wote wana haki sawa ikiwemo kuwahi nyumbani jioni.
Nawasilisha.
Kama kuna jambo zuri limefanyika sio mbaya tukipongeza. Barabara ya Mwenge kama mwezi hivi umepita kulikuwa na tabia ya magari yanayotoka Tegeta kupendelewa zaidi kwa kuruhusiwa kupita barabara zote.
Soma: Adha ya foleni katika makutano ya barabara ya Mwenge
Pamoja na kutatua tatizo hilo bado shida kubwa na utaratibu mbovu wa kuruhusu magari ipo eneo hilo muda wa jioni. Matrafki wamekuwa wakiruhusu magari ya kutoka mjini kwenda Mbezi Beach kwa upendeleo mkubwa na kuacha pande nyingine kwa muda mrefu.
Hivyo tunaomba mamlaka husika ziweke taratibu nzuri za kuruhusu magari kwa usawa maana Watanzania wote wana haki sawa ikiwemo kuwahi nyumbani jioni.
Nawasilisha.