Karimfemani
New Member
- Dec 11, 2019
- 4
- 2
Habari zenu mimi ni mgeni humu JF nitafurahi kama mgenijuza, kanuni ama sheria za tovuti hii kuuliza sio ujinga. Naomba maelekezo tafadhali hata ukinitajia sheria moja tu itafaa, nitashukuru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemjuaje yani umempatia kabisaUmejiunga muda huo huo ukatandaza uzi, na tayari ukawa unajua vionjo maarufu kama JF na mkuu.... wewe ni Great Thinker haswaaaa.
Utajua vipi, Kama alikua msomaji.Umejiunga muda huo huo ukatandaza uzi, na tayari ukawa unajua vionjo maarufu kama JF na mkuu.... wewe ni Great Thinker haswaaaa.
Utajua vipi, Kama alikua msomaji.
Karibu sana JF!
Hapohapo akajua na kutag watu...hahahaUmejiunga muda huo huo ukatandaza uzi, na tayari ukawa unajua vionjo maarufu kama JF na mkuu.... wewe ni Great Thinker haswaaaa.
Msomaji hawezi fahamu namna ya kumtag mtu, hehehe..Utajua vipi, Kama alikua msomaji.