Uchaguzi 2020 Asanteni sana Kamati Kuu ya CCM kutuletea Deus Sangu jimbo la Kwela - Rukwa

Uchaguzi 2020 Asanteni sana Kamati Kuu ya CCM kutuletea Deus Sangu jimbo la Kwela - Rukwa

charles ogopa tapeli

Senior Member
Joined
Jul 15, 2013
Posts
122
Reaction score
49
*WASIFU WA MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA KWELA -RUKWA 2020*

Jina Deus Clement Sangu
mzaliwa wa kijiji cha Laela wilaya ya Sumbawanga (V) mkoa wa Rukwa.

*SIFA ZA KITAALUMA*

1. Shahada ya uzamili ya uongozi na utawala(Masters of Arts Governance and Leadership MA GL ) chuo kikuu Huria Tanzania- Open University of Tanzania Inaendelea ....

2: Shahada ya uzamili ya UNUNUZI NA UGAVI(Masters of science in procurement and supply management) -Chuo kikuu Cha Mzumbe Tanzania.

3: Cheti cha juu katika fani MANUNUZI na UGAVI CPSP (T) ( kutoka katika bodi ya wataalamu wa manunuzi na ugavi PSPTB)

4: Shahada ya kwanza katika sayansi ya USIMAMIZI wa BIASHARA (Bachelor of commerce in Management sciences ) -Chuo kikuu cha Dar Es Salaam.

5: Elimu ya juu ya sekondari (V-VI) sekondari ya Mwakaleli - Mbeya

6 :Elimu ya sekondari I- IV (Seminari mtakatifu Yosefu ya Kaengesa Sumbawanga -Rukwa)

7: Elimu ya msingi :Shule ya msingi Laela "A"

*UZOEFU KATIKA KAZI*

1: Meneja Mwandamizi wa Manunuzi BENKI YA POSTA TANZANIA (Cheo alichokuwa nacho mpaka anateuliwa kuwa MGOMBEA na chama chake cha mapinduzi )

2: Amefanya kazi Kama Mkuu wa Idara ya manunuzi na Benki ya Twiga ambayo ilikua inamilikiwa na serikali chini ya wizara ya fedha kabla ya kuunganishwa na Tpb Bank.

3: Amefanya kazi Kama Afisa mwendeshaji wa Benki (Bank Operation Officer)-BARCLAYS BANK TANZANIA

4: Amefanya kazi Kama kiongozi wa Timu ya Waangalizi wa kimataifa katika uchaguzi mkuu wa Tanzania 2010 mikoa ya Rukwa na Manyara chini ya shirika la umoja wa mataifa UNDP.

5. Amefanya kazi kama mhasibu Halmashauri ya wilaya ya Mpanda.

6. Pia amefanya kazi kama meneja wa miradi ya ujenzi wa barabara ushirombo , Lusaunga', Lunzewe na kigali Rwanda chini ya kampuni kubwa ya ujenzi wa barabara Africa ( Strabag International )

View attachment 1555480View attachment 1555481View attachment 1555482
 
Shahada ya kwanza katika sayansi ya USIMAMIZI wa BIASHARA (Bachelor of commerce in Management sciences ) -Chuo kikuu cha Dar Es Salaam"

Hii shahada ya sayansi ndani ya B-COM imeanza kutolewa lini UDSM?
 
"Shahada ya kwanza katika sayansi ya USIMAMIZI wa BIASHARA (Bachelor of commerce in Management sciences ) -Chuo kikuu cha Dar Es Salaam"

Hii shahada ya sayansi ndani ya B-COM imeanza kutolewa lini UDSM?
Angalia mwaka mkuu ilikuwepo udsm
 
Tanzania kwa sasa tuna watu wenye vyeti kwa shahada ya kwanza, uzamili hata uzamivu.

Changamoto kubwa sio wasomi ila ni namna gani wasomi kuwa na fikra za ku-solve issue za watu/jamii.

Mfano, ni namna gani wakulima wa mahindi rukwa wanaweza kuwa na uhakika wa soko la mahundi kwa kuzalisha unga hapo hapo Rukwa na kuuza soko la ndani na nje kama unga;
na pumba kuziuza kwa kuchanganya additives zingine kupata chakula cha wanyama.

Hii utahitaji kuwa na warehouse kubwa Rukwa; good logistics system kutoa unga na chakula cha wanyama kwenda sokoni.

Kama uhutaji wa mbegu ushakuwa known, kuja na mkakati wa kukopesheka toka TIB, TADB au popote ili mbegu za shambani zizalishiwe rukwa kwa ajili ya rukwa the rest kuuzwa nje ya rukwa.

Otherwise kuna wakati tunasoma masters za vutabu vya Ulaya tukiwa hapa, depth ya content inakuwa sio relevant kabisa kwenye ku-solve au kuleta real solutions kwa Watanzania.

Hongereni wateuliwa kugombea, we real hope a service with measurable outcome in socio-economic developments ya wapiga kura
 
Tanzania kwa sasa tuna watu wenye vyeti kwa shahada ya kwanza, uzamili hata uzamivu.

Changamoto kubwa sio wasomi ila ni namna gani wasomi kuwa na fikra za ku-solve issue za watu/jamii.

Mfano, ni namna gani wakulima wa mahindi rukwa wanaweza kuwa na uhakika wa soko la mahundi kwa kuzalisha unga hapo hapo Rukwa na kuuza soko la ndani na nje kama unga;
na pumba kuziuza kwa kuchanganya additives zingine kupata chakula cha wanyama.

Hii utahitaji kuwa na warehouse kubwa Rukwa; good logistics system kutoa unga na chakula cha wanyama kwenda sokoni.

Kama uhutaji wa mbegu ushakuwa known, kuja na mkakati wa kukopesheka toka TIB, TADB au popote ili mbegu za shambani zizalishiwe rukwa kwa ajili ya rukwa the rest kuuzwa nje ya rukwa.

Otherwise kuna wakati tunasoma masters za vutabu vya Ulaya tukiwa hapa, depth ya content inakuwa sio relevant kabisa kwenye ku-solve au kuleta real solutions kwa Watanzania.

Hongereni wateuliwa kugombea, we real hope a service with measurable outcome in socio-economic developments ya wapiga kura
Nzuri sana hii mkuu kazi kubwa ni kupima uwezo wa elimu ya mgombea husika katika kuifanyia kazi jamii yake hii inaenda sawa na kuunganisha ujuzi wake na mazingira halisi ya hiyo jamii.
 
Nzuri sana hii mkuu kazi kubwa ni kupima uwezo wa elimu ya mgombea husika katika kuifanyia kazi jamii yake hii inaenda sawa na kuunganisha ujuzi wake na mazingira halisi ya hiyo jamii.
Mkuu, ukubwa wa Rukwa ni zaidi ya nchi ya Israel.
Na nusu ya Israel ni jangwa.

Kama wabunge wakikaa vema, kuna mengi nchi hii inaweza kufanya.

Bahati mbaya, watu wengi wanamsifu JPM kwa kazi anazofanya kama Rais, wao wanafanya nini huoni (au ni kodogo sana)
Hii ni mbaya sana.

Iko haja term hii ya pili, mikoa ya kimkakati kama Rukwa, Katavi, Njombe, Iringa, Moro, Mbeya, Ruvuma, Songwe;
Wakuu wa Wilaya, RC; DED walau waende na busienss plan ya namna gani in 2-3 years kila mkoa unaweza kuwa na miradi ya uwekezaji ya kuajiri watu 500 kwa level ya mkoa. Watu 100 kwa level ya Wilaya (kazi zenye kuchangia PAYE na Pension schemes ikijumuisha bima ya afya.

Vinginevyo, najua JPM atashinda, tutajikuta 2025 imefika na tumemtumia kiasi kidogo sana
 
Mkuu, ukubwa wa Rukwa ni zaidi ya nchi ya Israel.
Na nusu ya Israel ni jangwa.

Kama wabunge wakikaa vema, kuna mengi nchi hii inaweza kufanya.

Bahati mbaya, watu wengi wanamsifu JPM kwa kazi anazofanya kama Rais, wao wanafanya nini huoni (au ni kodogo sana)
Hii ni mbaya sana.

Iko haja term hii ya pili, mikoa ya kimkakati kama Rukwa, Katavi, Njombe, Iringa, Moro, Mbeya, Ruvuma, Songwe;
Wakuu wa Wilaya, RC; DED walau waende na busienss plan ya namna gani in 2-3 years kila mkoa unaweza kuwa na miradi ya uwekezaji ya kuajiri watu 500 kwa level ya mkoa. Watu 100 kwa level ya Wilaya (kazi zenye kuchangia PAYE na Pension schemes ikijumuisha bima ya afya.

Vinginevyo, najua JPM atashinda, tutajikuta 2025 imefika na tumemtumia kiasi kidogo sana
Hili ni suala nyeti, Rukwa tofauti na sehemu nyingine ina rasilimali zifuatazo ambazo ni unexploited mpaka leo.

Rukwa inaweza kusave DR Congo upande wa Karemii ambayo bandari yake ya Kasanga inajengwa sasa ilihitajika kupunguza population ya Tunduma kwa kufungua fursa hii adhimu kwa watanzania waliopo Rukwa ikiwa pamoja na wacongo kwa upande ule.

Rukwa inapakana na Zambia ya kusini upande wa Mbala kuna umbali mrefu sana kutoka Tunduma mpaka kufikia Mbala lakini hii kuna umbali mfupi sana kutoka Tunduma mpaka Mbala ukipitia Rukwa kwa border ya Kasesha.

Rukwa ilikosa wanasiasa makini, wasomi na mahiri wa kuweza kugeuza hizo fursa zijumuike katika mifuko ya watu maana kijiografia Rukwa iko favored lakini maendeleo yake hasa performance ya mkoa as solely yalikua nyuma.

Bonde la Rukwa ndilo linaaminika kutoa product grade A ya mchele unaotoka nyanda za juu kusini hasa maeneo ya Kilyamatundu na Kamsamba branding husemwa ni mchele wa Kyela.

Pamoja na uzalishaji huo Rukwa haijawa full exploited hasa fertile soil inayopatikana kwenye mabonde yake makubwa.

Imani ni kwamba alieletwa ni mtu anaye yajua haya na ana exposure tunategemea maendeleo makubwa sana kwa miaka miwili hasa discipline ya kuintervene among sector's zote zinazopatikana Rukwa na vipaumbele vya mkoa ni agenda yake kubwa achilia mbali vya serikali.

Imani ni ujuzi wa haya yanayotakiwa maendeleo mkiwa na blueprints nzuri ni kuamua tu kufika tunakokutaka.
 
Back
Top Bottom