CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Huku ndani namwaga madini mengi sana nilitoa habari ya menina kudai mamiilioni ikapostiwa instagram copy and paste yangu yangu kuna ya biashara kudaiwa kuuza mechi hadi kitenge kapost ingawa kapost pia ila source ni nuhu adams wa ghana natishiwa inbox eti nitafungwa harakisheni fastaa wajinga.
Mimi maisha yangu magumu sana njoo inbox nunua kitabu utapata namba yangu puumbavuu punguani wahedii nina akili zilizopitliiza ningekuwa nchi zenye akili mimi ni tajiri ila sababu niko na wajinga acha niishi na wajinga ipasavyo mazafaka.
Anyway majuzi aisee nilalamika kuhusu simba kufanya mazoezi ya wazi kumbe jamii forums ina nguvu sana , asanteni viongozi wetu kunisikiliza naona hii picha huu uwanja pitch mBovu ila una ukuta hakuna wachawi kabisa majitu megine yalikuwa yanakjua boko na bunju na jezi za simba na macho ya kichawi kumbe utopwinyo.
Asanteni sana mara moja moja basi mniite nije nichukue tuzo ya mshauri bora pembeni ya mwezi mchanga gentamycine ambaye jana nimegundua kumbe ni braza wangu kama alisoma ni wyliff keto aliekuwa anamgonga mama yangu mdogo makao mapya arusha flats za bot akiwa anachezea arusha dah aisee popoma ingawa ananikera acha niende naye polepole nilikua mdogo sana miaka hiyo keto alikuwa anannishika mkono naingia naye sheikh amri abedi akiwa na kina sanifu lazaro alexander wilson,nyoni ,almasi... Dah , anyway asanteni viongozi wetu Simba sc.
Kingine mara ya mwisho kabla kuaabishwa na makirikiri niliona ceo barbra akisindikizwa kwenye gari na watu watano ,nilitoa ushauri kwamba mazeoezi ya wazi anavyovamiwa na watu wengi siyo salama haswa ukizingatia msukule wa utiopolo ulitoa voice note kumtishia.
Asanteni sana wanasimba mlioko huku nunueni vitabu basi kwangu nipate hela na kian mura wa biashara fc wakati mnatafuta wa kuwashtaki nichekini inbox mununue vitabu.
Nimefurahi sana kuona mnafanya mazoezi kwenye uwanja wenye ukuta ingawa pitch mbaya poapoa gentamycine maoni yako kaka sitaki tena kugombana na wewe aisee kama ulisoma na keto acha ninyamaze makao mapya arusha kanishika sana mkono kuingia sheikh amri abedi.
Mimi maisha yangu magumu sana njoo inbox nunua kitabu utapata namba yangu puumbavuu punguani wahedii nina akili zilizopitliiza ningekuwa nchi zenye akili mimi ni tajiri ila sababu niko na wajinga acha niishi na wajinga ipasavyo mazafaka.
Anyway majuzi aisee nilalamika kuhusu simba kufanya mazoezi ya wazi kumbe jamii forums ina nguvu sana , asanteni viongozi wetu kunisikiliza naona hii picha huu uwanja pitch mBovu ila una ukuta hakuna wachawi kabisa majitu megine yalikuwa yanakjua boko na bunju na jezi za simba na macho ya kichawi kumbe utopwinyo.
Asanteni sana mara moja moja basi mniite nije nichukue tuzo ya mshauri bora pembeni ya mwezi mchanga gentamycine ambaye jana nimegundua kumbe ni braza wangu kama alisoma ni wyliff keto aliekuwa anamgonga mama yangu mdogo makao mapya arusha flats za bot akiwa anachezea arusha dah aisee popoma ingawa ananikera acha niende naye polepole nilikua mdogo sana miaka hiyo keto alikuwa anannishika mkono naingia naye sheikh amri abedi akiwa na kina sanifu lazaro alexander wilson,nyoni ,almasi... Dah , anyway asanteni viongozi wetu Simba sc.
Kingine mara ya mwisho kabla kuaabishwa na makirikiri niliona ceo barbra akisindikizwa kwenye gari na watu watano ,nilitoa ushauri kwamba mazeoezi ya wazi anavyovamiwa na watu wengi siyo salama haswa ukizingatia msukule wa utiopolo ulitoa voice note kumtishia.
Asanteni sana wanasimba mlioko huku nunueni vitabu basi kwangu nipate hela na kian mura wa biashara fc wakati mnatafuta wa kuwashtaki nichekini inbox mununue vitabu.
Nimefurahi sana kuona mnafanya mazoezi kwenye uwanja wenye ukuta ingawa pitch mbaya poapoa gentamycine maoni yako kaka sitaki tena kugombana na wewe aisee kama ulisoma na keto acha ninyamaze makao mapya arusha kanishika sana mkono kuingia sheikh amri abedi.