Asanteni wote kwa ushauri wenu, Nimefanikiwa kupata ujauzito

asante ndg yangu kwa kunipa moyo na kunirekebisha kauli...unajua naumia sana kwa mtihani huu nakuomba uniombee namimi nifanikiwe ndg yako.

In Shaa Allah Mambo yatakaa sawa utayaona mepesi tu muda ukifika
 
Shosti niinbox mwenzako bado nina msiba huu ndg yangu bado sijafanikiea pliz tuwasiliane kwa inbox unisaidie na mie pliz

Mola Muumba wa kila kitu, apokee maombe haya...
Akujaalie kizazi chenye kheri na wewe. Amin amin.....
 

amina nashukuru sana nimesimama imara kwenye imani. asante kwa kuniombea Mungu wetu ni mwenye huruma nina mwamini nitafika salama
 
Sidhani kama amekosea kutokana na furaha aliyo nayo,
nilimsaidia dawa na amekuja kutoa shukrani jamii forum kwa kuwa ndipo alipokuja mara ya kwanza akapata ushauri na dawa pia,
 
Xian hongera, imani katika chochote ukifanyacho ni nguzo ya mafanikio,
wapo wanaosema ni promotion na maneno yasiyopendeza,
usizingatie hayo zingatia lengo lako,
binafsi nilishasahau kabisa.
Mungu akupe Nguvu pia nashukuru kwa kuwa Mwaminifu na kurudi kushukuru.
 
Last edited by a moderator:
Shosti niinbox mwenzako bado nina msiba huu ndg yangu bado sijafanikiea pliz tuwasiliane kwa inbox unisaidie na mie pliz

Dawa za kimasai zitaendelea kuwa juu siku zote kwani wahanga ni wengi zaid ya tujuavyo.....pole sana mdada.
 
Hongera shost vipi we autapiki au hausikii kichefuchefu
 
Mi mwenzio vinanisumbua natapikaje kichefuchefu
 
mkuu asante sana...dawa za kimasai unazo au nitazipataje ndg?
Dawa za kimasai zitaendelea kuwa juu siku zote kwani wahanga ni wengi zaid ya tujuavyo.....pole sana mdada.
 

asante sana
 

Duh! najua umepata faraja wewena mumeo kwa kupata ujauzito. Halafu hiyo gharama uliyoitaja 12-15 ni kiasi gani cha fedha?
 

human being is complex being hongera kwa msaada wako uwe na moyo huo huo
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…