Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Ona huyu kijana wa RageAsec wameshafuzu hatua ya robo final wameomba mechi yao vs Simba ipigwe kwa mkapa, kwanza wanaamini watapata mapato kwa sababu Simba nao wanategemea gemu hiyo kufuzu, ewe mola naomba maombi yao yakubaliwe.
Hongereni viongozi wa Simba kwa kucheza karata vizuri.
Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
Kwani haujui kama uwanja wa Mkapa umefungwa?Kama ni kweli basi Simba wamejitahidi kutumia fursa vizuri.
Najua umefungwa kwa muda, sijui lini utafunguliwa.Kwani haujui kama uwanja wa Mkapa umefungwa?
Kwani taarifa kwa umma ilikupita?View attachment 2899893
Ni fedheha kuwa shabiki wa simbaKwani haujui kama uwanja wa Mkapa umefungwa?
Hahahahahahaha....kuna watu humu wajinga sana ni vile tu ....JITAHIDI UKIANDIKA KITU UWE UNAWEKA NA REFERENCE.
WEWE NI MTU MZIMA SANA LAKINI UNAJIDHALILISHA MNO.
UMEANDIKA UPUMBAVU MTUPU.
Hahahahahaha...mtu mzima hakoseiRage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
Lakini taarIfa inaonyesha mechi za kimataifa unaruhusiwaKwani taarifa kwa umma ilikupita?View attachment 2899893
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
Una uhakika wa 100% Asec ameshafuzu???Asec wameshafuzu hatua ya robo final wameomba mechi yao vs Simba ipigwe kwa mkapa, kwanza wanaamini watapata mapato kwa sababu Simba nao wanategemea gemu hiyo kufuzu, ewe mola naomba maombi yao yakubaliwe.
Hongereni viongozi wa Simba kwa kucheza karata vizuri.