unataka kuniambia kabinti kalikwea mbuyu?mmh ndio maana yule mzee wa TOT alijisevia tu........
kweli wembamba wa reli treni inapita libaba lote lile lol
Uzuri wa Mwanamke ni Tabia njema!! lakini bana sura yenye mvuto (Reception) ina nafasi yake kwa kweli!!!
mzee umri si tija, cha msingi kama ukiipata fursa hiyo basi itumie kwa uangalifu vinginevyo unaweza kuishia MOI. watoto wa mjini hawa.Ingawa umri wangu umeenda kidogo lakini nikipata fursa kwa haka katoto, ntaitumia ipasavyo.
Maji ya Kilimanjaro pia huchangia kufanya ngozi ya warembo wengi kuwa nyonyoro na ya kuvutia !!
hakuna cha ujane hapa mkuu - ha ha ha -- naweza kubahatika ka PM - who knows!!!Da kongolo hupumui,huhemi kwa hotlicious mjane wa uncle jj!