Asee haka ka Binti Kameumbika Jamani - Ukweli tuusemage!!

Kongolo vipi umetumwa hivi ile kesi yake imeishia wapi?

Ila ukweli Mola kamjali kila sekta, aliyempa yeye uzuri ndiye alimpa yule, tumshukuru Mungu.
 
Last edited by a moderator:
Du wadau haka kalikaa jela kweli ......kamisha hakukaona kweli ?
 
Jamani jamani jamani angalieni isije kuwa uzuri wa mkakasi....!
Mi huwa napendaga shokshok kwakuwa ladha yake nyama tupu... hakuna mfupa
 
Uzuri wa Mwanamke ni Tabia njema!! lakini bana sura yenye mvuto (Reception) ina nafasi yake kwa kweli!!!


Kongolo kama una mke jua unahatarisha ndoa yako ila kama uko singo n lonely kanakufaa manake naona kamekukosha kwelkwel
 
Mi napenda kishuzi chake mhhh ni moto,alafu nasikia kanatoa mtandao kenyewe bila kuombwa,kenyewe kanaitoa huku kanaipeleka kule.

Wewe una tabia mbaya hujui kale kamchezo hata shetani akiona anakimbia??
 
Ngoja nihame hii thread na kibaridi hiki cha alfajiri na hizo picha naona nanyenyemkwa
 
Watu humu, mmmh mimate inawatoka na kujenga Imagination ambazo mmmmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…