Asee haka ka Binti Kameumbika Jamani - Ukweli tuusemage!!

haya bwana naona kazi unayo.... au yaweza kuwa we ndo lulu mwenyewe
coz hizi sasa ni promo.
 
Mbona wa kawaida sana Kongolo..!!!
 
Last edited by a moderator:
sio kaka li viiiile sema media na matangazo ya kurushia picha sana tu lakini ni kawaida maana naona watoto wakali sana zaidi ya haka kabinti
 
sio kaka li viiiile sema media na matangazo ya kurushia picha sana tu lakini ni kawaida maana naona watoto wakali sana zaidi ya haka kabinti


Tena No. 8
 
Tuseme umekatiza makaburini, ukiona kaburi lilojengwa kwa marumaru, je kutakuwa na madini ya thamani ndani yake!? Hakuna kitu hapo nilifisi kama yalivo marisi mengine. Mzuri ni yule ulienae.
 
Kabinti kama haka kanavyovutia mimi huwa nanyonya hadi.....yake!
 
hapo alivyokaa unajuaje ameumbika...? ninani huyu ...?
 
Haka ka binti kametengenezwa vilivyo; yaani ni kakali. Kwa mastaa wa kibongo bado sijaona zaidi ya hapa.


Kwa uzuri...mmmhhh......mbona kawaida tu...Ila nimevutiwa na uzi wa wajanja aliotinga.

Sema sasa akionwa na hao babavichaa a.k.a wazee wa domo (chadomo) mi sipo.....mchina alivaa kofia tu...amesutwa mpaka amechanganyikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…