Asee jirani zetu tatizo hasa maisha magumu ama kurogana???!!!!!

Ummayed

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2019
Posts
6,155
Reaction score
2,580
Ndugu zetu ,shemeji zetu na jiran zetu Wakenya ugonjwa wa uchizi umeshamiri huko kwen hv tatzo ni nn sasa mpk machiz wawa wengi hivii???!!!!

Povu ruhusa

 
Mnakumbuka huu utafiti
Yaani kila Mtanzania mmoja kati ya wanne ni kichaa, hivyo kwa nchi yenye idadi ya watu milioni 60 ina vichaa 15,000,000
Dadadeki yaani mazezeta 15,000,000

Hivi ni nchi gani mkulu wao alijisema kuwa yeye ana ukichaa fulani.





 
Mnakumbuka huu utafiti
Yaani kila Mtanzania mmoja kati ya wanne ni kichaa, hivyo kwa nchi yenye idadi ya watu milioni 60 ina vichaa 15,000,000
Dadadeki yaani mazezeta 15,000,000





Hahaha , sasa ona hii picha mbaya ya Tz alafu ongeza ule ukichaa wao mwengine wa kuchinjana wao kwa wao .Nimeona kwanini wao huona dawa ya kutibu umaskini na uvivu ni kuua albinos.
 
Itakuwa Kenya hyo nchi.
MTU mwenye akili timamu hawezi kulala kwenye nyumba za mabati tupu.
 
Hahaha , sasa ona hii picha mbaya ya Tz alafu ongeza ule ukichaa wao mwengine wa kuchinjana wao kwa wao .Nimeona kwanini wao huona dawa ya kutibu umaskini na uvivu ni kuua albinos.
Yani hata idadi haijatolewa na wala hakuna reliable evidence ya hilo suala.
Ila nyie idadi imetoka 10 millions of Kenyans ni mataira yan ni robo ya wananchi jamanii.
Halafu idara yenu ya afya ndiyo imetamka wazi ktk kadamnasi ya watu.
 
Hatari sana...

Ila siyo kila chizi ni chizi, wengine wapo kazini...


Cc: mahondaw
 
Yaani kwenye karne hii bado kuna watu ambao wanajua kwamba ugonjwa wa akili unasababishwa na uchawi? Dah, waafrika tuna safari ndefu sana.
 
Vichaa wengi wa Tanzania kwa sasa wanajaribu kukimbilia Kenya maisha, maana vyuma vilivyokaza Tanzania hakuna kitu cha maana cha kutupwa na vichaa wakaokota.
 
Vichaa wengi wa Tanzania kwa sasa wanajaribu kukimbilia Kenya maisha, maana vyuma vilivyokaza Tanzania hakuna kitu cha maana cha kutupwa na vichaa wakaokota.
Unaugua wewe.
Aah anyway mzanzibar ndio maana unaropokea hv Tanzania.
Hao ni wakenya asilia idara ya afya imetamkwa waz kuwa Kenya hususan Nairobbery uchizi umekithiri kiasi kufikia watu millions kumi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…