Hahaha , sasa ona hii picha mbaya ya Tz alafu ongeza ule ukichaa wao mwengine wa kuchinjana wao kwa wao .Nimeona kwanini wao huona dawa ya kutibu umaskini na uvivu ni kuua albinos.Mnakumbuka huu utafiti
Yaani kila Mtanzania mmoja kati ya wanne ni kichaa, hivyo kwa nchi yenye idadi ya watu milioni 60 ina vichaa 15,000,000
Dadadeki yaani mazezeta 15,000,000
Mnakumbuka huu utafiti
Yaani kila Mtanzania mmoja kati ya wanne ni kichaa, hivyo kwa nchi yenye idadi ya watu milioni 60 ina vichaa 15,000,000
Dadadeki yaani mazezeta 15,000,000
Hivi ni nchi gani mkulu wao alijisema kuwa yeye ana ukichaa fulani.
Yani hata idadi haijatolewa na wala hakuna reliable evidence ya hilo suala.Hahaha , sasa ona hii picha mbaya ya Tz alafu ongeza ule ukichaa wao mwengine wa kuchinjana wao kwa wao .Nimeona kwanini wao huona dawa ya kutibu umaskini na uvivu ni kuua albinos.
Unaugua wewe.Vichaa wengi wa Tanzania kwa sasa wanajaribu kukimbilia Kenya maisha, maana vyuma vilivyokaza Tanzania hakuna kitu cha maana cha kutupwa na vichaa wakaokota.