Sadiki Abdallah
JF-Expert Member
- Jul 13, 2016
- 885
- 582
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ligi kuu nchini Uingereza inaanza ijumaa, nimeangalia kwenye livescore table nimekuta timu ya Asenal wapo kileleni, hii ni faraja kwa wapenZi wa timu hiyo
Maana mara ya mwisho kukaa katika nafasi hiyo TanZania waziri mkuu alikuwa mtoto wa mkulima[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Jina la Club yangu pendwa ni ARSENAL au ulivyoandika wewe ni kwa Kiswahili nini? Sina uhakikaLigi kuu nchini Uingereza inaanza ijumaa, nimeangalia kwenye livescore table nimekuta timu ya Asenal wapo kileleni, hii ni faraja kwa wapenZi wa timu hiyo
Maana mara ya mwisho kukaa katika nafasi hiyo TanZania waziri mkuu alikuwa mtoto wa mkulima[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]