Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Huyu Asenga asituchezee akili na kutufanya sisi watoto wadogo
Abubakar Asenga, Mbunge wa Jimbo la Kilombero katika Mahojiano na Wasafi TV amesema;
"Mimi kama mtoto wa fundi Cherehani nimevaa suti ya aina moja kwa miaka mitano, mkanda wangu nimevaa wa plastiki wa elfu 3 na kiatu changu hakizidi elfu 20"
Soma: Mbunge Asenga apendekeza TBC waandae taarifa ya habari ya taifa, vyombo vyote virushe
Abubakar Asenga, Mbunge wa Jimbo la Kilombero katika Mahojiano na Wasafi TV amesema;
"Mimi kama mtoto wa fundi Cherehani nimevaa suti ya aina moja kwa miaka mitano, mkanda wangu nimevaa wa plastiki wa elfu 3 na kiatu changu hakizidi elfu 20"
Soma: Mbunge Asenga apendekeza TBC waandae taarifa ya habari ya taifa, vyombo vyote virushe